tupo kanisani mchungaji akasema anaetaka kuombewa biashara yake apate wateja asimame
si Muuza majeneza akasimama wa kwanza
sasa naona ibaada imeahirishwa naisi kanisa zima wataua wameenda kufanya ziara ya kuichek biashara ya huyo Muuzaji. [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23]