Naomba nione video kabla sijacomment😡😳Inakuwaje wanajamvi!
Kama mnakumba kampeni ya uchaguzi mkuu 2010 kuna mwanasiasa fulani jukwaani tena live mubashara kwenye TV alimtukana wazi wazi mama mzazi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete eti hana adabu kwa kumlea vibaya Kikwete.
Cha kushangaza Jakaya alimpotezea wala hakushughulika naye.
Inaonekana Jakaya alikuwa peace sana hadi vijana wa TISS labda walikuwa wanamrukia na kupanda mabegani.
Wakati huo ndio neno kuchakachua limepamba moto.
Best friend of Jesus!
Ukijumlisha pesa zote izo je zinafiki 2.3trilion iliyopotea ndani ya miaka miwili ya utawala wa magufuli?Kabisa Mkuu. kumbuka IPTL, Richmond/Dowans, Escrow na mazagazaga mengine mengi tu.
Hayo mambo ya Richmond na kadhalika yaliripotiwa na vyombo vya Habari na yalitolewa ufafanuziKabisa Mkuu. kumbuka IPTL, Richmond/Dowans, Escrow na mazagazaga mengine mengi tu.
Hujui mchezo unavyochezwa wewe, tulia. Tuna katiba sisi? Katiba ni rais aliyeko madarakani. Sasa hivi Kikwete akijaribu kusema chochote against Magufuli, na Magufuli akiamua kumfanyizia hakuna wa kumlinda. Si katiba, si nani! Nchi yetu mtu akishakalia kile kiti achana naye. Na usiniambia bla bla bla za katiba. Katiba ni kitabu kama vitabu vingine tu wananchi wasipokuwa na mwamko wa kuitetea.Uoga wakati alikuwa Rais? Hakuna aliyekuwa juu yake, angeweza kufanya chochote na kwa katiba yetu mbovu hata akitoka madarakani hashtakiwi
Hapa BAK alionyesha tu Kikwete siyo msafi. Hakulinganisha ni nani amechafua zaidi.Ukijumlisha pesa zote izo je zinafiki 2.3trilion iliyopotea ndani ya miaka miwili ya utawala wa magufuli?
CAG aliyehoji unajua kilichomtokea. Tundu lisu naye unajua kilichompata.
Kama kusoma hujui hata picha huoni.
Kwa kifupi hii inaweza kuwa ndyo serikali iliyoongoza kwa ufisadi kuliko zote.
Nani ana ushahidi kuwa jk kapiga hela?,hata magu watu wanasema anapiga hela ila ushahudi hawanaJamaa kapiga hela....[emoji1] Kinachoumiza ni kwamba hata watu walipojaribu kurise the concern walizimishwa kimya kimyaa.....yn hakuna hata moja lililoguswa katika hayo....so painful
Ni Lisu peke yake katika wanasiasa wa tz kwenye uchaguzi uliopita aliwahusisha wazazi wa mgombea mwenzie katika kampeniLissu ana maneno ya kuchagua , hawezi kumtukana mama wa Maghufuli . Hawezi