Ila Kugongewa mke kunaumiza sana, kusikiage tu

Ila Kugongewa mke kunaumiza sana, kusikiage tu

Ndio maana watu wakifumaniawaga huwa ni kuuliwa au kuolewa tena bila kujali jinsia yako
 
Kumbe ndiye wewe uliyekuwa ukielezwa juzi kuwahi haraka nyumbani kwako kule Ilala toka ofisini ili unifumanie mimi na Mke wako chumbani kwako nilivyokuwa najisevia utamu kwa kigezo cha mfanyabiashara mwenzake na Mke wako?

Unaanza kujenga picha yaani staili alizokuwa ananipa ndio kampa yule jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisani utakuta wanawake. wanagaragara
chini kulia na kushoto wakati wakiombewa
lakini bado wanakumbuka kuifunga miguu yao.
 
Unaanza kujenga picha yaani staili alizokuwa ananipa ndio kampa yule jamaa!

Hiyo ni moja lakini unapowazia utu, heshima na mamlaka ya kifamilia uliyojijengea kwa jamii yako.

Rafiki zangu watalichukuliaje hili swala, ndugu, wazazi, watoto wetu je??
 
Daaah mi hua naumia sana nikifikiria mpenz wng nnaempenda anakamata mic ya mshakaji halafu anachana mistari[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom