Ila Kugongewa mke kunaumiza sana, kusikiage tu

Ila Kugongewa mke kunaumiza sana, kusikiage tu

Unaanza kujenga picha yaani staili alizokuwa ananipa ndio kampa yule jamaa!
Hv bado kuna watu wanawaza na kusumbuliwa na Mambo ya kugongeana!
Vi gen Z kibao, unagongewa unalia?
Mi nikikosa deal ya peas, au COde zisipoleta automation tarajiwa, hapo moyo lazima uuume! Sasa, MTU anatoa, katobo kake Kali we, dume zima na midevu unapata msongo wa mawaza!
 
Back
Top Bottom