Hv bado kuna watu wanawaza na kusumbuliwa na Mambo ya kugongeana!
Vi gen Z kibao, unagongewa unalia?
Mi nikikosa deal ya peas, au COde zisipoleta automation tarajiwa, hapo moyo lazima uuume! Sasa, MTU anatoa, katobo kake Kali we, dume zima na midevu unapata msongo wa mawaza!