Sijawajua vizuri sana viongozi wa kada zingine, lakini nadiriki kusema hawa wanaopanda ngazi na kuwa viongozi wa walimu hubadilika na kuwa na roho ngumu sana!
Katika karne hii ya sayansi na teknolojia, kizazi hiki cha computers ambapo hata vishikwambi vimeanza kufikiriwa kugaiwa kwa kila mwalimu ili kumrahisishia kazi, eti kuna viongozi hawataki kabisa walimu wafaidike na maendeleo haya. Imagine, viongozi eti wanawakataza walimu kuandaa maazimio yao kwa kuyachapa......wanataka waandike kwa mkono tu na si vinginevyo.
Ukiuliza sababu ya hili eti unaaambiwa kumzuia mwalimu 'asikopi' kazi ya mtu mwingine shaaaaabash!!!!!!!! Sasa akiandika kwa mkono hawezi kukopi? Lengo la wazi lililopo hapa ni kuwahangaisha tu walimu. Wanaowasimamia walimu; wakuu wa shule na walimu wakuu hupata tabu zaidi katika hili.
Hivi kufanya hivyo ndo ufaulu unaongezeka? Mbona shule zinazofaulisha vizuri kabisa hawana mambo hayo? Wao mpaka nukuu za masomo zinachapwa na mwalimu mwenyewe. Mambo yanakuwa safi! Mbona matokeo ya Form 2 ni mabovu tu, misifuri kibaaao!! Viongozi, muwe mnawafikiria na wenzenu na madhila yao.....muondoe vikwazo visivyo na ulazima viongozi.
Kwa msiowahi kupitia ualimu:
Azimio la kazi ni mpangokazi wa mwalimu katika kuliendea somo Lake kwa mwaka husika wa masomo sawa na kalenda ya mihula, mada kubwa na ndogo na lini na kwa namna gani zitafundishwa na kwa kutumia Materials gani huelezwa humo.
Hii, kutokana na uwingi wa vipengele vya kujaza na uwingi wa mambo ya kuyajaza humo, huandaliwa katika zile karatasi kubwa maarufu kama za A3. Somo moja, huchukua A3 tano (kwa ,wenye maarifa mazuri ya summarization) au zaidi.
Sasa afisa wewe unajisikia raha gani kumchoresha na kumuandikisha mtu kwa mkono miA3 kumi au zaidi? Ukweli ni kwamba, kwa kuchapa, mambo huwa mazuri kwani vinasomeka safi kabisa......sioni uhusiano wowote wa kuchapa na kukopi.
Katika karne hii ya sayansi na teknolojia, kizazi hiki cha computers ambapo hata vishikwambi vimeanza kufikiriwa kugaiwa kwa kila mwalimu ili kumrahisishia kazi, eti kuna viongozi hawataki kabisa walimu wafaidike na maendeleo haya. Imagine, viongozi eti wanawakataza walimu kuandaa maazimio yao kwa kuyachapa......wanataka waandike kwa mkono tu na si vinginevyo.
Ukiuliza sababu ya hili eti unaaambiwa kumzuia mwalimu 'asikopi' kazi ya mtu mwingine shaaaaabash!!!!!!!! Sasa akiandika kwa mkono hawezi kukopi? Lengo la wazi lililopo hapa ni kuwahangaisha tu walimu. Wanaowasimamia walimu; wakuu wa shule na walimu wakuu hupata tabu zaidi katika hili.
Hivi kufanya hivyo ndo ufaulu unaongezeka? Mbona shule zinazofaulisha vizuri kabisa hawana mambo hayo? Wao mpaka nukuu za masomo zinachapwa na mwalimu mwenyewe. Mambo yanakuwa safi! Mbona matokeo ya Form 2 ni mabovu tu, misifuri kibaaao!! Viongozi, muwe mnawafikiria na wenzenu na madhila yao.....muondoe vikwazo visivyo na ulazima viongozi.
Kwa msiowahi kupitia ualimu:
Azimio la kazi ni mpangokazi wa mwalimu katika kuliendea somo Lake kwa mwaka husika wa masomo sawa na kalenda ya mihula, mada kubwa na ndogo na lini na kwa namna gani zitafundishwa na kwa kutumia Materials gani huelezwa humo.
Hii, kutokana na uwingi wa vipengele vya kujaza na uwingi wa mambo ya kuyajaza humo, huandaliwa katika zile karatasi kubwa maarufu kama za A3. Somo moja, huchukua A3 tano (kwa ,wenye maarifa mazuri ya summarization) au zaidi.
Sasa afisa wewe unajisikia raha gani kumchoresha na kumuandikisha mtu kwa mkono miA3 kumi au zaidi? Ukweli ni kwamba, kwa kuchapa, mambo huwa mazuri kwani vinasomeka safi kabisa......sioni uhusiano wowote wa kuchapa na kukopi.