nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Huenda alikuwa sahihi,Kuna wanaume wanastahili kunyenyekewa maana Wana hekima pia kwa wake zao....Nahisi ujuaji umewaweka hapa, mmoja nilimsikia anasema haya maisha ni bora uishi tu single mambo ya kunyenyekea mtu ni ukoloni!.