Ila shule kulikuwa na watu wajuaji sana aisee

Hahahaha hii topic walikuwa wanapenda kuifundisha aisee
 
😂😂😂
 
Hii haifundishi inaburudisha tu
 
Watu wana mikwara
 
Umenikumbusha siku ya kwanza naingia Class ILBORU ilikuwa hatari, watu wamesoma topic zote
 
Umepiga karatu boys mwaka gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…