Ila sisi wadada jamani...

Inasemekana ilikua ni penzi jipya maana mimi ndo yule mwanaume niliekaa na huyo dada hapo mbele huyo jamaa aliniangalia vibaya sana wakati anashuka
 
Kwanini ulliondoka mwenyewe my wangu?
 
Nani mzuri zaidi kati yako na huyo mwanadada mwenzako?
 
Ndomana kukukaacdaslam siwezi kuna siku nilikuwa natoka kkoo gerezani naenda makumbusha sasa nikapanda daladala nilikosa siti nikawa nimesimama pembeni kwenye siti kuna mdada na mkaka wamekaa yule mdada anadeka kwa yule bwana ake aoni aibu amemlalia kifuani kamuegemea haoni haibu yani kama wapo wawili tuu gari zima nilishangazwa sana...
 
We ni mkenya au unaiga lafudhi ya kikenya?!
 
Inasemekana ilikua ni penzi jipya maana mimi ndo yule mwanaume niliekaa na huyo dada hapo mbele huyo jamaa aliniangalia vibaya sana wakati anashuka
Haha,
Sawa, Mimi ni nani nipinge.!!
 
Unatakiwa tu uishi kwa kujali shughuli zako, hapo ilitakiwa hata ujifanye hujawaona, as long as hawajaingilia issue yako personal.!
 
Kingereza angu haijakaa Sawa ila mimi napenda sema actually it is a bad behavior.
 
Aaaaaah
 
Mie ningejua huyo bwana ni mtu wake
Ningemfurahisha na nyodo zake, yaani ningehakikisha wakitoka hapo wanaenda kupigana
Maana ningempigisha stori tungecheka mpk bas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…