Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Tulionekana illterates, un-informed and less-modern.
Kazi zetu walipewa wao kwa maana wao walionekana superior zaidi kuzidi sisi. Wabongo wengi pia walitapeliwa sana na majirani walipofanya nao mishe kwa maana watu walikuwa bogus miaka ya 2000s kurudi nyuma.
Sasa hivi tunawakimbiza kiasi, tumeamka kwa kiwango chake ila bado sana, we have so much to do.
Kazi zetu walipewa wao kwa maana wao walionekana superior zaidi kuzidi sisi. Wabongo wengi pia walitapeliwa sana na majirani walipofanya nao mishe kwa maana watu walikuwa bogus miaka ya 2000s kurudi nyuma.
Sasa hivi tunawakimbiza kiasi, tumeamka kwa kiwango chake ila bado sana, we have so much to do.