Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa TangaHongera sana mkuu
Sidhani kama ni uvivu Yani inawezekana kabisa kuna mtu hajawahi hata kuiskia hiyo UTT ss Kwa mtu kama huyo akisoma namna alivyoandika mtoa mada hawezi kuelewa.Uvivu wa kufikiri na kutafuta maarifa zaidi bado ni janga kwa taifa hili.
Hongera mtoa mada, siyo wote watakuelewa.
Sidhani kama ni uvivu Yani inawezekana kabisa kuna mtu hajawahi hata kuiskia hiyo UTT ss Kwa mtu kama huyo akisoma namna alivyoandika mtoa mada hawezi kuelewa.
Mtoa mada ana Jambo zuri sema alivyoliandika n kama kaandika Kwa kukurupuka angetuelezea vzr tuelewe.
Nenda YouTube utapata almost kila kitu unachohitaji kufahamuMi mwenyewe nimevutiwa na huo uwekezaji ila sasa kuelewa namna ya kuanza nimuone nani mawasiliano hamna,nijisajili vipi, ofisi iko wapi? sielewi kabisa lengo lake ni lipi, ni kuturingishia kawekeza au ni tangazo kapost? sielewi kabisa ila code imekuwa ngumu kwangu kuifungua, naona kama anaruka ruka tu!
Atoe elimu kama ana nia ya kusaidia au kuelewesha members kuhusu UTT.
Unataka utafuniwe kila kitu? Bando hauna?Mi mwenyewe nimevutiwa na huo uwekezaji ila sasa kuelewa namna ya kuanza nimuone nani mawasiliano hamna,nijisajili vipi, ofisi iko wapi? sielewi kabisa lengo lake ni lipi, ni kuturingishia kawekeza au ni tangazo kapost? sielewi kabisa ila code imekuwa ngumu kwangu kuifungua, naona kama anaruka ruka tu!
Atoe elimu kama ana nia ya kusaidia au kuelewesha members kuhusu UTT.
GOD BLESS YOU. HILI SOMO NIMELITAFUTA BILA MAFANIKIO. ASANTE SANA. UMENIONGEZEA MAARIFA. NGOJA NIKIMBIE CHAP NIKAWEKEZE
Yani imeongezeka elfu tano mia moja kumi na saba?Ila UTT ni bonge la mchongo mwaka jana nimevunja kibubu changu cha chuma nikakuta m8 na usheee pesa nilijibanabana mwenyewe hamna kilichoongezaka,
Mwaka huu 15/05/2022 nikafungua account UTT nilianza na laki 5 na baada ya hapo nikaendelea na utaratibu kama naweka kwenye kibubu nikipata 10k au 20 naweka kulingana na harakati zitakavyokua mpaka muda huu kuna ongezeko la sh 5117 pesa ambayo ningeweka kwenye kibubu nisingeipata hata buku wadau kama itakupendeza ifanye UTT AMIS iwe kibubu chako
View attachment 2298616
Tupe mrejesho nategemea kujiunga very soon mwaka huu.Nimejiunga This Year Nategemea Mambo Mazuri Mbeleni[emoji120]
Yani imeongezeka elfu tano mia moja kumi na saba?
Kama ni hivyo sijaona maajabu hapo. Labda uweke maelezo upya