Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Sasa jamani ndio kila kitu tubeti jamani?😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hata Mimi nimewahi kupitaPale stendi ya mbezi lous ndio utashangaa,
Wamezungushia uzio ila mtu mzima kabisa anajipitisha chini ya nondo anajibinya mpaka anapita.
Kwakweli hili huwa linanishangaza sana.
Itakua ni wewe nilikuona mkuu.Hahaha hata Mimi nimewahi kupita
Hao ndio wana wa Dar us salaam.. Wanaogopa mvua kuliko ajali ya gari..
Wabongo tunapenda shortcutItakua ni wewe nilikuona mkuu.
Hivi pale nini kinawapelekea kufanya hivyo??
Hakika, halafu muda tunaona mchache sanaWabongo tunapenda shortcut
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rHii leo nimeona kariakoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hilo dude likikupitia karibu ule upepo wake unaweza kuzima
Unacheka kinafiki 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]r
Kwaninii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unacheka kinafiki [emoji23][emoji23][emoji23]