Ila wakuu tuwe wakweli, maudhui mtandaoni yameharibika, yani ni makalio juu ya makalio kila kukicha. Matusi wazi wazi bila mafumbo

Ila wakuu tuwe wakweli, maudhui mtandaoni yameharibika, yani ni makalio juu ya makalio kila kukicha. Matusi wazi wazi bila mafumbo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.

Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.

Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?

Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
 
Inasikitisha sana
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.

Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.

Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?

Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
 
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.

Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.

Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?

Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
Shida nini?
Hembu tulia uelezee vizuri
 
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.

Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.

Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?

Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.

Haha umenichekesha. Mimi kwangu ni nadra sana ukute kumewekwa channels za muziki labda kwa bahati mbaya. Ni makubaliano tuliyokubaliana ndani kuwa kutokana na nyimbo kujaa matusi, basi hatutaweka channel hizo. In short ni kwamba si channel za ndani au nje za muziki zinazowekwa kwangu sema still kuna muda unaweza kuwa na watoto mnapita sehemu ukashangaa muziki unapigwa vinaimba kila mstari mpaka najiuliza wanazijulia wapi.
 
Haha umenichekesha. Mimi kwangu ni nadra sana ukute kumewekwa channels za muziki labda kwa bahati mbaya. Ni makubaliano tuliyokubaliana ndani kuwa kutokana na nyimbo kujaa matusi, basi hatutaweka channel hizo. In short ni kwamba si channel za ndani au nje za muziki zinazowekwa kwangu sema still kuna muda unaweza kuwa na watoto mnapita sehemu ukashangaa muziki unapigwa vinaimba kila mstari mpaka najiuliza wanazijulia wapi.
Hongera ndugu
 
Sasa mzee wanaimba ipitishe kwa chini aiwekeiweke mwendovwa ndindi. Unategemea nini na vijana wanapenda hayohayo matusi.

Ukiona umeanza kuona nyimbo zinazoimbwa hivi sasa ni matusi ujue uzee umemunyemelea.
 
itafahamikaa itajulikana,,,amekuacha ndomana unampondaaa itafahamikaa............
 
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.

Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.

Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?

Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
Umejiexpose vibaya sana bro, ni hivi, Algorithm ya instagram inakuonuesha vile vitu unavyovutiwa navyo, huwa inaangalia picha za aina flani unazi-like sana, au unachukua muda mrefu ndani ya page za aina flani, hivyo hata matangazo ya biashara utaoewa yale unayoendana nayo, vivyo hivyo hata content zipo taylor made kwa ajili yako. Wewe unapemda sana hivyo vitu, ndio maana Algoritn inakupa unachopenda. Mnafiki wewe hadi unatia aibu.
 
Dadazangu mlioolewa waombeen sana waume zenu vita ni kubwa kuanzia mtaani had mtandaoni
Jana nimeona mdada kavaa kikanga anakatika kiuno kama feni mbovu nikawaza kakazangu kujenga ni Kwa mbinde San km mambo yenyew ndo hiv 😂😂😂😂
 
Dadazangu mlioolewa waombeen sana waume zenu vita ni kubwa kuanzia mtaani had mtandaoni
Jana nimeona mdada kavaa kikanga anakatika kiuno kama deni mbovu nikawaza kakazangu kujenga ni Kwa mbinde San km mambo yenyew ndo hiv 😂😂😂😂
Unataka sisi tuliooa tufumbe macho tukiona mautam?
 
Back
Top Bottom