Ila wakuu tuwe wakweli, maudhui mtandaoni yameharibika, yani ni makalio juu ya makalio kila kukicha. Matusi wazi wazi bila mafumbo

Ila wakuu tuwe wakweli, maudhui mtandaoni yameharibika, yani ni makalio juu ya makalio kila kukicha. Matusi wazi wazi bila mafumbo

Dadazangu mlioolewa waombeen sana waume zenu vita ni kubwa kuanzia mtaani had mtandaoni
Jana nimeona mdada kavaa kikanga anakatika kiuno kama deni mbovu nikawaza kakazangu kujenga ni Kwa mbinde San km mambo yenyew ndo hiv 😂😂😂😂
Nimimi uyo Asante kwa ku share video yangu hata kwa simulizi tu,,namimi najitambulisha naamini pm itajaa😂😂😂😂
 
Dadazangu mlioolewa waombeen sana waume zenu vita ni kubwa kuanzia mtaani had mtandaoni
Jana nimeona mdada kavaa kikanga anakatika kiuno kama deni mbovu nikawaza kakazangu kujenga ni Kwa mbinde San km mambo yenyew ndo hiv 😂😂😂😂
Hela zenyewe za kujenga hamna, acha tu watu wajirushe
 
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.

Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.

Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?

Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
Ni kwa Tanzania nchi yenye idadi kubwa ya mashabiki wa utopolo huu. Nenda nchi za jirani. Hawana hamu wala muda na upuuzi kama huu. Nadhanni ndiyo maana tuna madangulo mengi kuliko mashule na zahanati. Tumegeuka taifa la wazinzi na wapenda ngono kiasi cha kutisha.
 
Back
Top Bottom