Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.
Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.
Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?
Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
Shida nini?Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.
Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.
Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?
Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
Hahahaha we wimbo wa nani huowimbo unaimbwa "ooh toileti, mida ya kwenda toileti"๐ฎ
na mtu anasikiliza
Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.
Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.
Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?
Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
kontawa - toiletiHahahaha we wimbo wa nani huo
Khaah,, hakika ndo nasikia hapa kwakokontawa - toileti
Hongera nduguHaha umenichekesha. Mimi kwangu ni nadra sana ukute kumewekwa channels za muziki labda kwa bahati mbaya. Ni makubaliano tuliyokubaliana ndani kuwa kutokana na nyimbo kujaa matusi, basi hatutaweka channel hizo. In short ni kwamba si channel za ndani au nje za muziki zinazowekwa kwangu sema still kuna muda unaweza kuwa na watoto mnapita sehemu ukashangaa muziki unapigwa vinaimba kila mstari mpaka najiuliza wanazijulia wapi.
Umejiexpose vibaya sana bro, ni hivi, Algorithm ya instagram inakuonuesha vile vitu unavyovutiwa navyo, huwa inaangalia picha za aina flani unazi-like sana, au unachukua muda mrefu ndani ya page za aina flani, hivyo hata matangazo ya biashara utaoewa yale unayoendana nayo, vivyo hivyo hata content zipo taylor made kwa ajili yako. Wewe unapemda sana hivyo vitu, ndio maana Algoritn inakupa unachopenda. Mnafiki wewe hadi unatia aibu.Yani unaweka kila chaneli ya muziki ni vibinti viko nusu uchi na kibaya zaidi hata lyrics za siku hizi ni matusi ya wazi wazi.
Yani unaingia tu insta, msambwanda huo, tuuuuu!!. Yani ni vibinti vinajibenua kila kona.
Yani kuna aina fulani hivi ya binti wa aina ya kimalaya kimalaya ndio anakuwa praised kila kona ya burudani, unategemea usione maajabu ya vibinti vya gen-z and gen-alpha kuwa mafundi wa anal sex.?
Vitoto vyetu vya kike unakuta kila mara vinaimba " ameloa, ameloa,", huku akiwa anawaangalia mabinti wenzake wakicheza na too bad kama akiwa ana akili kama panzi ndio hao mabinti wa TV wata mu-inspire kuishi ki-drama.
Eeh kaimba nani huo ๐๐wimbo unaimbwa "ooh toileti, mida ya kwenda toileti"๐ฎ
na mtu anasikiliza
Unataka sisi tuliooa tufumbe macho tukiona mautam?Dadazangu mlioolewa waombeen sana waume zenu vita ni kubwa kuanzia mtaani had mtandaoni
Jana nimeona mdada kavaa kikanga anakatika kiuno kama deni mbovu nikawaza kakazangu kujenga ni Kwa mbinde San km mambo yenyew ndo hiv ๐๐๐๐
Ndio waachien kataa ndoa ๐Unataka sisi tuliooa tufumbe macho tukiona mautam?