Ila wanawake: Ananilaumu kila siku sijawahi kumtoa out wala kula hata 50 yangu wakati sisi ni washkaji tu!

Ila wanawake: Ananilaumu kila siku sijawahi kumtoa out wala kula hata 50 yangu wakati sisi ni washkaji tu!

Haujajua huo ni mtego wa mwanamke, wao ili kupata waalazimisha upay attetion kwao tuu, huku wakiamini ukiwanaye muda mwingi hautaona kwinginena ipo siku utampa penzi tuuu na atakushika masikio kama wale wanaosemaga nimemuweka HAPA
 
Kuna baadhi ya wanawake inabidi uwaangalie tu km walivyo. Ukijifanya una tamaa ndiyo mwanzo wa kubeba matatizo hata kuvuruga kbsa maisha yako kiujumla.
Safi sana. Kaangalie hivyo hivyo
Mimi nilishaacha kutongoza wanawake ovyo ovyo, kuna wengine hawana utulivu wa akili kabisa.
Kama huyo mwanamke anawaza kutumia pesa zako tu, hapo mkuu hilo ni bomu. Kimbia
Kabisa. Umemaliza kila kitu, kuna muda unatuliza tu rungu, unakuwa na discipline na mtu mmoja ambaye kwenye shida anakuelewa na kwenye raha anakuelewa. Unasave vitu vingi.
 
Kwani mkuu wewe ni punga? Mimi nikadhani unaomba ushauri umechomeka umeshindwa kuchomoa, yaani umetuaibisha sana MKuu manzi Hadi akaamua kukupa stori za dildo it means alikuona wewe ni kama dildo tu.
Siku nyingine use that useless appendage usefully, Asante.
 
Kuna baadhi ya wanawake inabidi uwaangalie tu km walivyo. Ukijifanya una tamaa ndiyo mwanzo wa kubeba matatizo hata kuvuruga kbsa maisha yako kiujumla.
Safi sana. Kaangalie hivyo hivyo
Mimi nilishaacha kutongoza wanawake ovyo ovyo, kuna wengine hawana utulivu wa akili kabisa.
Kama huyo mwanamke anawaza kutumia pesa zako tu, hapo mkuu hilo ni bomu. Kimbia
Sure
 
Back
Top Bottom