Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #21
Et kwamba ndio wana mahaba mkuuKwani wabondei Wana shida gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et kwamba ndio wana mahaba mkuuKwani wabondei Wana shida gani
Sizitaki mbichi hiziila kwa hili lazima huyu mchaga nimpelekee moto
Ila wanawake usipokuwa na hela, utaona kila rangi. Unakuta biashara haijaenda sawa, ye hakuelewi.
Atoe kwa ajili gani?Toa pesa wewe acha kutafuta huruma Jf
Kabisa. Umemaliza kila kitu, kuna muda unatuliza tu rungu, unakuwa na discipline na mtu mmoja ambaye kwenye shida anakuelewa na kwenye raha anakuelewa. Unasave vitu vingi.Kuna baadhi ya wanawake inabidi uwaangalie tu km walivyo. Ukijifanya una tamaa ndiyo mwanzo wa kubeba matatizo hata kuvuruga kbsa maisha yako kiujumla.
Safi sana. Kaangalie hivyo hivyo
Mimi nilishaacha kutongoza wanawake ovyo ovyo, kuna wengine hawana utulivu wa akili kabisa.
Kama huyo mwanamke anawaza kutumia pesa zako tu, hapo mkuu hilo ni bomu. Kimbia
Nipo huku nyuma na kibokoMkuu,
Mie sina shida na lawama zako ulizowatupia wadada,
Lakini je, kulikuwa na ulazima wowote wa kutaja neno 'mchaga'..??
SureKuna baadhi ya wanawake inabidi uwaangalie tu km walivyo. Ukijifanya una tamaa ndiyo mwanzo wa kubeba matatizo hata kuvuruga kbsa maisha yako kiujumla.
Safi sana. Kaangalie hivyo hivyo
Mimi nilishaacha kutongoza wanawake ovyo ovyo, kuna wengine hawana utulivu wa akili kabisa.
Kama huyo mwanamke anawaza kutumia pesa zako tu, hapo mkuu hilo ni bomu. Kimbia
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣After i cum , i come to my sense.
[emoji23][emoji23] inatafutwa angle ili tu msemwe. Dada angu hii sumu iliyoingia mtaani sijui tunaitoaje
Nilikuwa katika hali ambayo hata sielewi nikaweka ile post, but wanisamehe dada zangu wa northernWalevi wa nchi kwenye ubora wenu [emoji1787][emoji1787]
Watu na madada zenu town, alafu wewe ndio kiongozi wa kuwaponda. Unakumbuka ule uzi wako ulivyoponda?!
Kupigwa ni uamuzi wakoMkuu hapo kupigwa kupo nje nje
Nilikuwa katika hali ambayo hata sielewi nikaweka ile post, but wanisamehe dada zangu wa northern
Nimekuelewa mkuuHuo muda wa kuandika essay yote hii unautoa wapi ungekuwa unatafuta Cha Tano Saiz jiongeze acha masiala kwenye mambo ya msingi bro