Akisema haina maana kasema vya Congo ni vizuriKuna siku nilimsikiaga akilalamikia viwanja bongo ni vibovu ,nikajiuliza hivi afrika yetu hii ukitoa south africa na nchi za kiarabu hali ya viwanja vya mpira si inafanana?
Jamaa ni muongo na ana masifa ya ki congo kwelikweli,embu anagalia kiwanja hiki cha ligi kuu ya congo tena uwanjani wapo as vita
View attachment 1067323
alisema Jean makusu wa vita hawezi kuja kucheza ligi ya bongo maana mbali na mshahara hakuna viwanja vizuri sasa angalia hicho kiwanja hapo juu na team ya makusu ilikuwpo inacheza,pamoja na ubaya wa baadhi ya viwanja vyetu hatuna cha ligi kuu kama hicho,hicho ni cha ndondo cup ,bora kusiwe na majukwaa kuwe na pitch nzuri bwana
Rostam Aziz yule tajiri jasusi anasubiri uchaguzi then aje kuwekeza mabilioni Jangwani..hayo mambo ya TASAF tanieni mwisho mwisho..."Yanga ni lidude likubwa"Dk Harrison Mwakyembe
Simba imeifunga yanga mara nyingi tu wakiwa na Manji, lakini Yanga haijathubutu kuifunga Simba wakati Mo ni mwekezaji au unabisha ?Huwezi kuona tofauti..sisi tukiwa wazuri tunakupiga home and away..next season inarudi..jiandae kisaikolojiaView attachment 1067880
Wakongo kama wahaya tu kwa kupenda misifa.Kuna siku nilimsikiaga akilalamikia viwanja bongo ni vibovu ,nikajiuliza hivi afrika yetu hii ukitoa south africa na nchi za kiarabu hali ya viwanja vya mpira si inafanana?
Jamaa ni muongo na ana masifa ya ki congo kwelikweli,embu anagalia kiwanja hiki cha ligi kuu ya congo tena uwanjani wapo as vita
View attachment 1067323