Ilaaniwe siku ya VALENTINE

Ilaaniwe siku ya VALENTINE

Bado dakika chache siku iishe watakuja wenzako muungane mliopigwa na vitu vizito kichwani
Me hapa nipo na uyu dada kaweka kandege kwenye yake nadhani hapendi usumbufu

Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
ha ha ha ha ha ha
Kama nakaona....kandege kalivyo ikandia cmu yake[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Shida nini? Mbona haraka hivyo mpaka unasahau na kuandika kisa vizuri kikaeleweka? Unatoa taarifa au lawama[emoji28].

Ukisikia hiiiiiii ujue tayariiii jiwe limempata muhusika huko[emoji28], anyway kijana sijui mzee wewe, acha kuyapa kipaumbele mapenzi haswa ya kudumu na mtu mmoja.

Pole sana
 
Back
Top Bottom