Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

Nini kimekuleta wewe kwenye "haka Kajukwaa"?
 
unaichonganisha serekali na wananchi...
 
Kwa hiyo na wewe umejibia kwenye haka kajukwaa, inawezekana hujui nguvu ya mtandao.

Sera mbadala ziko njiani zinakuja, hizi drama za kulaghai wananchi eti nitaifanya Tanzania ya viwanda mwisho 2015, safari hii mtajipapeli wenyewe.
 
Safari hi magufuri atapita mikoa michache tu huku akipungia watu mikono hakuna haja ya manenomaneno kazi kashamaliza, katekeleza ilani mpaka sasa 90%

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi gani kaimaliza, kapoteza muda kukimbizana na wapinzani badala ya kushughulikia matatizo ya wananchi.

Bibi kizee wa Ukerewe atamwambia amejenga stieglers gorge atamwelewa.
 
Mkuu hapo namba 6 sijaelewa vizuri, Huyu fisadi mkuu si ndiye aligombea Urais 2015 kupitia chadema?Au ni mwingine?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Pole ya nini pimbi wewe?
Sina tatizo unanipa pole ya kazi gani?
 
Ahadi na 6, kupambana na ufisadi

Hakuna fisadi lililoshitakiwa likafungwa jela
 
Bora mzazi wako angepiga punyeto kuliko kuzaa chizi kama wewe,kwani unanitafuta wakati huwezi kunipata.
Akili zako kama za MMagufool..
Heeh! Kufahamiana tena? Pole kwa wazazi wako, maana ndiyo wenye hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…