Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

Onyesha jambo moja tu awamu hii ililotekeleza kikamilifu.

REA II,
TASAF III,
Ujenzi wa flyover Dar,
Serikali kuhamia Dodoma,
Mikopo ya wanafunzi Elimu ya Juuu,
Elimu Bila Malipo (Shule za Msingi na Sekondari),

Ulinzi na Usalama wa Nchi,
Uwajibikaji kwa Taasisi za Umma,
Makusanyo ya Ndani/Mapato ya Serikali,
Ujenzi wa Barabara za Lami (Mikoa yote),
Ununuzi wa Ndege,
Kupunguza Matumizi Serikalini,


HIVI CDM kweli zinawatosha!
 
Kwa uchache tu nawakumbusha kwamba CCM kupitia Ilani yake imefanya mengi mazuri - kwa ufupi tu:-

REA II, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa umeme sababu ya kuwa upinzani)?
TASAF III, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa fedha za TASAF sababu ya kuwa upinzani)?

Ujenzi wa flyover Dar, (
Je, leo kuna Mwana CDM anayekatazwa kuzitumia sababu ya kuwa upinzani)?

Serikali kuhamia Dodoma, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa huduma sababu ya kuwa upinzani - hatuoni pia kiasi cha fedha kilichopungua sababu ya huduma kuwa karibu)?

Mikopo ya wanafunzi Elimu ya Juuu, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa mkopo sababu ya kuwa upinzani)?
Elimu Bila Malipo (Shule za Msingi na Sekondari), (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa fedha sababu ya kuwa upinzani)?


Ulinzi na Usalama wa Nchi, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa ulinzi sababu ya kuwa upinzani)?
Uwajibikaji kwa Taasisi za Umma, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa huduma ofisini sababu ya kuwa upinzani)?

Makusanyo ya Ndani/Mapato ya Serikali, (Kuna Mwana CDM anayezuiwa kutumia miundombinu inayojengwa kwa kuwa ni mpinzani)?

Ujenzi wa Barabara za Lami (Mikoa yote), (Je, leo kuna Mwana CDM anayezuiwa kutumia barabara sababu ya kuwa upinzani)?

Ununuzi wa Ndege, (Je, leo kuna Mwana CDM anayezuiwa kusafiri au kusafirisha sababu ya kuwa upinzani)?

CHADEMA WEKENI AKIBA YA MANENO WAKATI CCM WAKITEKELEZA ILANI - NI KWA MANUFAA YA TAIFA (TANZANIA)
 


Lakini wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwasambaratisha wapinzani wake, iwe kwa hiari au kwa lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…