Ilani ya CCM: Kituo kikubwa cha Biashara kujengwa Ubungo ilipokuwa stendi ya mkoa, mwekezaji asaini mkataba Chadema walituchelewesha!

Ilani ya CCM: Kituo kikubwa cha Biashara kujengwa Ubungo ilipokuwa stendi ya mkoa, mwekezaji asaini mkataba Chadema walituchelewesha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!
 
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!

Fremu zinafungwa kila pahala hamjajua kulikoni mwaenda kutupa fedha nyingine kwenye fremu?? Station kuu ya mwendokasi si ilitakiwa itoke kwenye eneo la mafuriko jangwani ije hapo?
 
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!
Mwambie Kitila ahamasishe wawekezaji wanaojenga viwanda. Sio watu wanaojenga outlet za kuuzia bidhaa feki toka China.

Hiyo wanayojenga hapo Ni Kama Machinga complex.
No production, jobs will be exported to China.
 
Mwambie Kitila ahamasishe wawekezaji wanaojenga viwanda. Sio watu wanaojenga outlet za kuuzia bidhaa feki toka China.

Hiyo wanayojenga hapo Ni Kama Machinga complex.
No production, jobs will be exported to China.
Nimekuelewa bwashee!
 
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!
Walisemaga RBT Buses ndo itakuwa depo yake Pale.so yataendelea kuwa pale kidimbwi Jangwani??
 
Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo

Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.

Source: ITV habari!

Mzee Mgaya ndio kakwambia hivyo
 
Back
Top Bottom