johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Kumbe!Ni kituo cha kuhifadhia bidhaa za wachina yaani China inafungua solo tz..... upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!Ni kituo cha kuhifadhia bidhaa za wachina yaani China inafungua solo tz..... upo
Ni solo la wachina ndani ya tz. Badala ya kwenda China utaenda ubungo.Kumbe!
EeeenHeeee!Ni solo la wachina ndani ya tz. Badala ya kwenda China utaenda ubungo.
Tunasubir kituo cha kuuza mzigo wa vile viwanda 4000 by Tanzania kikajengwe huko china.... ili tuendlee kusifia na kuabudu.
Asante corona 17.3.2021 uliondoa uongo na ghiriba duniani
SAWA!Hizo flemu walizojenga ndio umachinga wenyewe!
Sekta binafsi hasara sio ya serikaliMko vizuri sana kwenye kuvipa majina, ila utendaji wake ndio kazi itakapoanza.
Bila proper physibility studies na enviromnmental impacts assesments matokeo yatakuwa vurugu!Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo
Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.
Source: ITV habari!
Kazi ipi?KAZI IENDELEE
Hapo kesha chukua 10% yakeWaziri wa viwanda na biashara Prof Kitila ambaye ndiye mbunge wa ubungi amesema kituo kikubwa cha biashara kinajengwa ilipokuwa stendi kuu ya mabasi ya mkoani ubungo
Kitila amesema mwekezaji ameshasaini mkataba na wananchi watapewa kipaumbele kupangishwa maeneo ya biashara kulinganisha na wageni.
Pia kituo hicho kitatoa maelfu ya ajira kwa watanzania, amesema.
Source: ITV habari!
Kabisa kabisaEeeenHeeee!
Kama utani vile, lakini katika mambo mazito kwelikweli!
Kwa kweli COVID-19 ilitoa mchango wake wa kihistoria Tanzania, mchango ambao unabadilisha kabisa mwelekeo wa nchi.
"feasibility"Bila proper physibility studies na enviromnmental impacts assesments matokeo yatakuwa vurugu!
Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
Ukweli ni kwamba hakuna tunachojifunza kutokana na tuliyokwishafanya na kushindwa.Daaa mwekezaji kujenga frame za biashara daaaa anatoka nje nchi watanzania tumeshindwa wapi ? Tulijisahau mlimani city bado tunarudia yale yale?
Alaf ikawaje?Hata Guinea walikijenga kama hicho hicho mwaka juzi
Mkuu technology yako ya longi sana, hongera kwa utunzaji
Ahsante mkuuMkuu technology yako ya longi sana, hongera kwa utunzaji