Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Rais wa kwanza kumkemea Spika wa bunge kwa kutimiza majukumu yake sawasawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..kuoa wake wawili zaidi....na vimada kibao.....
si mumeona juzi ...last week yote alikuw likizo ngorongoro ..na mama ziara ya kitaifa morogoro..[offcourse akipokewa na mkuu wa mkoa na viongozi wote na kukaa naye wiki nzima .....nadhani Pinda ambaye piya alikuwa morogoro alikosa uzito..tuseme kikatiba nafasi ya mke wa rais ipo juu ya waziri mkuu..auuu]....na mama ni mkarimu sana amewaacha wenzake wawili wafurahiye likizo na mzee ngorongoro hana hiyana ...naomba kinamama wengine muige mfano wake....ila pia muda umefika sasa kwa muhashimiwa kuwatambulisha rasmi wake zake wapya...atakuwa hajavunja sheria yeyote ..dini inaruhusu na atakuwa anaonesha mfano mwema wa kuwa muwazi......kuliko kufanya kama anajifisha wakati ni wake zake...
..kuoa wake wawili zaidi....na vimada kibao.....
si mumeona juzi ...last week yote alikuw likizo ngorongoro ..na mama ziara ya kitaifa morogoro..[offcourse akipokewa na mkuu wa mkoa na viongozi wote na kukaa naye wiki nzima .....nadhani Pinda ambaye piya alikuwa morogoro alikosa uzito..tuseme kikatiba nafasi ya mke wa rais ipo juu ya waziri mkuu..auuu]....na mama ni mkarimu sana amewaacha wenzake wawili wafurahiye likizo na mzee ngorongoro hana hiyana ...naomba kinamama wengine muige mfano wake....ila pia muda umefika sasa kwa muhashimiwa kuwatambulisha rasmi wake zake wapya...atakuwa hajavunja sheria yeyote ..dini inaruhusu na atakuwa anaonesha mfano mwema wa kuwa muwazi......kuliko kufanya kama anajifisha wakati ni wake zake...