Ilani ya CCM Uchaguzi 2010....

Rais wa kwanza kumkemea Spika wa bunge kwa kutimiza majukumu yake sawasawa.
 


Ha ha haaaaaaaa interesting
 

Mnanikumbusha enzi zile za Mzee Mwinyi. Mkamtukana yote halafu mwisho mnatoa machozi ya kinafiki kumuaga eti mtamkumbuka. Afadhali kina Jenerali waliomba KUNRADHI mara tu walipoanzisha RAIA MWEMA.

Mkiambiwa ushahidi mnabaki si MSWAHILI.....

omarilyas
 
.... Raisi wa kwanza kuhudhuria kwenye mazishi akiwa anatabasamu

.....Raisi wa Kwanza kuanguka jukwaani mara mbili

.....Raisi wa kwanza kuwapatia wa saudia hekari laki tano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…