Mi nilipata 1 ya 3
Utajibeba wakiongea wana ILBORU Piga Kimyaaa!!!! Muwaache Wasome.
mimi nilisimamishwa miezi miwili na bado division 1 ya point 5 niliipata tena ya PCM...
mkuu ulikuwepo ile 2008-2010...unamkumbuka chalz mburago(rais muhas)....novatus kambota(activist pale mzumbe)..paul duzu critical thinkers..hao walisumbua sana wakati ule ktk ile migomo...viva ilboru shule yangu...
Tr.Kiringo bado yupo?kajimto bado kanatiririsha maji?kande bado zinapikwa?
it iz what i need
ebwanee umenikumbusha mbali kuhusu hao washkaji.kambota vs J.matiko...ilikuwa paka na panya!!
vijana wanaclaim kua na points kali ila most are un educated. Kua na divI doesn't necessary mean umeelimika!
...mkuu si vyema kumtisha nape bhana...
mimi nimeelimika vizuri na bado nilipata division kali hii post inawahusu sana wailboru na ndo mana hatushangaani sana na division 1 zetu ila nyinyi msiopita pale mnalalamika sana....
Big Up Kiringo katupa mabanda ya Number Sana huyo mzee.
I'm gonna steal a little secret for you, I've been in so called Coict-CEIT provided ulipata I naasume ulifaulu vizuri na kwenda chuo chetu so you know what I'm talking about, na miaka hiyo you weren't going in easy. Nimesoma na watu wenu ndo maana nasema unaweza kua na I ila hujaelimika. Utasemaje umeelimika presentation huwezi hata kueleza kitu kikaeleweka? Utasemaje umeelimika kama proof yako pekee ni hiyo I yako? Watu waliokuzunguka ndo watakaosema umeelimika au la kwa kuangalia michango yako kwenye jamii.
ah ah ah mkuu cjawahi kutoa presentation nikazingua...shule nilizosoma zilinibeba sana katika lugha labda juu juu tu nilipitaga st.mary's academy hiyo haikutosha O'level nilipita st.mary's junior seminary,visiga ambayo nayo kiingereza ilikuwa ndo language of communication na hapa nilipata malezi ya aina tatu spiritual formation,intellectual formation,discipline formation and pastoral formation...hapa nakiri wazi ilboru nilipata tu intellctual formation...cjawahi kushindwa kumuelezea mtu kwa lugha either ya kiswahili au english na asielewe...sasa nimeamini ya kuwa Real knowledge is to know the extent of one's
ignorance.
then good for ya, but i wasn't addressing to you straight. Hii ni kwa most of kids these days, na pia mkuu sio lazima ku mention you academic excellency mbele za watu kila Saa ili uprove kwamba una elimu. Angalia watu kama kina Nyerere, Zitto or other intellect leaders wakiongea, hawasemi kila saa 'nilikua na I, nilisoma nje' especially mbele za watu unless its needed to. Present your case acha watu waku judge wenyewe
Nipo bosi wangu!...si unajua kuganga njaa!mkubwa, upo?!
...unajua nape alipiga ngapi, siri yako wanajamvi wasije wakoana...nilitaka kueleza kuwa wanailboru wengi huwa wanafaulu hata wakiwasimamisha shule bado wakirudi wanapiga fresh....ninajamaa yangu wakati ule alikuwa PCB na yeye alisimamishwa miezi miwili kiukweli nilimwonea huruma mana mtiti wa PCB kila mtu anauelewa ila maajabu yule jamaa alisimamisha 1.4.....
Nipo bosi wangu!...si unajua kuganga njaa!