Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
Mambo vipi wana JF!
Hivi ile adhabu ya Mondi kula ban imeisha maana leo naona millard ayo kapost habari kumuhusu mondi pia na mic ya clouds ilikuwepo kwa pembeni kunyonya habari....
Ndio adhabu imeisha au tayari wameshapatana?
Hivi ile adhabu ya Mondi kula ban imeisha maana leo naona millard ayo kapost habari kumuhusu mondi pia na mic ya clouds ilikuwepo kwa pembeni kunyonya habari....
Ndio adhabu imeisha au tayari wameshapatana?