Ile adhabu iliyotolewa na CMG kwa Diamond Platnumz imeishia wapi!?

Ile adhabu iliyotolewa na CMG kwa Diamond Platnumz imeishia wapi!?

Principal Focus

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
925
Reaction score
550
Mambo vipi wana JF!

Hivi ile adhabu ya Mondi kula ban imeisha maana leo naona millard ayo kapost habari kumuhusu mondi pia na mic ya clouds ilikuwepo kwa pembeni kunyonya habari....
Ndio adhabu imeisha au tayari wameshapatana?
 
Mambo vipi wana JF!

Hivi ile adhabu ya Mondi kula ban imeisha maana leo naona millard ayo kapost habari kumuhusu mondi pia na mic ya clouds ilikuwepo kwa pembeni kunyonya habari....
Ndio adhabu imeisha au tayari wameshapatana?

Habari bila picha/videoclip ni takataka tu
 
Ukitaka bidhaa yako ikose wateja acha kumuongelea diamond na vimbwanga vyake.
 
Sijaelewa tafsiri yako
Diamond kwa sasa - I am not a fan by the way, just simply telling the truth as I see it, I am more of a Kiba man-, kama ni mvua, ni mvua iliyokwishanyesha na kufurika Msimbazi mpaka barabara ya Morogoro haipitiki.

Kama walitaka kumzuia walitakiwa waanze kuweka miundo mbinu ya kuzuia mafuriko haya tangu mwanzo kabisa, kutaka kumzuia sasa ni sawa sawa na kutaka kuzuia mafuriko wakati mvua tayari ishanyesha.

Kuna mambo kadhaa.

Serikali inakosea, kama unakubaliana nayo au kama hukubaliani nayo.

1. Kama unakubaliana nayo, serikali ilitakiwa kuanza mapema kutoa vitu clear kwamba picha na video gani zinaruhusiwa na zipi haziruhusiwi. Ili kusiwe na confusion mtu akipost picha tujue kuna muongozo unaoeleweka kauvunja wapi. Sasa hivi hakuna hicho kitu serikali inaenda kwa mzuka mzuka tu.

2. Kama hukubaliani nayo, utasema kwamba wananchi wanatakiwakuwa na uhuru wa kujieleza, na alichofanya Diamond wala si jambo la ajabu, serikaliinaendekeza ukandamizajiwa kishamba tu.
 
Diamond kwa sasa - I am not a fan by the way, just simply telling the truth as I see it, I am more of a Kiba man-, kama ni mvua, ni mvua iliyokwishanyesha na kufurika Msimbazi mpaka barabara ya Morogoro haipitiki.

Kama walitaka kumzuia walitakiwa waanze kuweka miundo mbinu ya kuzuia mafuriko haya tangu mwanzo kabisa, kutaka kumzuia sasa ni sawa sawa na kutaka kuzuia mafuriko wakati mvua tayari ishanyesha.

Kuna mambo kadhaa.

Serikali inakosea, kama unakubaliana nayo au kama hukubaliani nayo.

1. Kama unakubaliana nayo, serikali ilitakiwa kuanza mapema kutoa vitu clear kwamba picha na video gani zinaruhusiwa na zipi haziruhusiwi. Ili kusiwe na confusion mtu akipost picha tujue kuna muongozo unaoeleweka kauvunja wapi. Sasa hivi hakuna hicho kitu serikali inaenda kwa mzuka mzuka tu.

2. Kama hukubaliani nayo, utasema kwamba wananchi wanatakiwakuwa na uhuru wa kujieleza, na alichofanya Diamond wala si jambo la ajabu, serikaliinaendekeza ukandamizajiwa kishamba tu.
Bro usinichonganishe na serikali aise mimi sijaongelea wao... Napenda ugali wa home aise sijauchoka
 
Back
Top Bottom