Ile adhabu iliyotolewa na CMG kwa Diamond Platnumz imeishia wapi!?

Bro usinichonganishe na serikali aise mimi sijaongelea wao... Napenda ugali wa home aise sijauchoka
Acha kujikuza wewe hata ukijilipua serikali haikujui, na mimi sijasema popote jambo lolote la kukuchonganisha wewe na serikali.

Wewe ndiye umenifuata kuomba tafsiri.

Au ushasahau?
 
Clouds washamba sana. Ngoja tuone watakavyopotezwa kwenye ramani na hizi media mpya
 
Duuh yani ww jamaa bana
 
Bro usinichonganishe na serikali aise mimi sijaongelea wao... Napenda ugali wa home aise sijauchoka
Umeshindwa kumuelewa tuu katumia mfano mafuriko ya msimbazi...... ambavyo hayawezi kuzuilika kwa sasa kutokana kushindwa kuweka miundo mbinu ya kuzia mafuriko toka mwanzo .
Sasa Diamond ni kama mafuriko clouds hawawezi kumzuia kabisa maana amekuwa mkubwa sana zaidi ya mafuriko hivyo kamwe hawana uwezo wa kumuangusha sasa hivi maana walishindwa kumzuia toka mwanzo......
 
Acha kujikuza wewe hata ukijilipua serikali haikujui, na mimi sijasema popote jambo lolote la kukuchonganisha wewe na serikali.

Wewe ndiye umenifuata kuomba tafsiri.

Au ushasahau?
Haya mkuu nimekuelewa kwa mfano wako
 
Amani kwako mkuu kwa ufafanuzi huo
 
Millard aliona anaanza kupitwa viewers youtube na lil ommy
 
Sababu Nandy alikuwepo, niliona kwenye taarifa yao ya habari kaoneshwa Nandy tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…