Ile baiskeli ya mbao ishaanza kuishiwa upepo

Ile baiskeli ya mbao ishaanza kuishiwa upepo

Jiongeze kifikra we boya,kutoka utofauti wa pointi 8 hadi 2 hlf bado unaleta ubishi tu!
Wewe kweli koro na ni 1/4,kwani hilo gape la point 8 lilitokea wapi??

Narudia tena endeleeni kuuota ila pale huu matafika kwa macho.
 
Wewe kweli koro na ni 1/4,kwani hilo gape la point 8 lilitokea wapi??

Narudia tena endeleeni kuuota ila pale huu matafika kwa macho.
7d06ed5025a2f5cedb5a55e39ea4b69d.jpg
ae87bac4e7aad6b84573905f98f06006.jpg
 
watu wanachonga sana humu wakati ligi inaanza wote walikuwa na point 0 sasa hiv mechi 15 simba pnt 35 yeboyebo 33 sijui zingine wamepeleka wapi alafu et ooh baiskel ya mbao shaur yenu mtakuwa mnaziona hivyo tu
 
Narudia tena ww ni 1/4 hivi wakati ligi inaanza si tulikuwa 0 kwa 0 now ni 35 kwa 33

Alafu mnasema eti simba wanajifariji,kwann tusijifariji wakati nyinyi mliokuwa nyuma yetu mnajifariji?
 
Back
Top Bottom