Ile baiskeli ya mbao ishaanza kuishiwa upepo

Jiongeze kifikra we boya,kutoka utofauti wa pointi 8 hadi 2 hlf bado unaleta ubishi tu!
Wewe kweli koro na ni 1/4,kwani hilo gape la point 8 lilitokea wapi??

Narudia tena endeleeni kuuota ila pale huu matafika kwa macho.
 
watu wanachonga sana humu wakati ligi inaanza wote walikuwa na point 0 sasa hiv mechi 15 simba pnt 35 yeboyebo 33 sijui zingine wamepeleka wapi alafu et ooh baiskel ya mbao shaur yenu mtakuwa mnaziona hivyo tu
 
Narudia tena ww ni 1/4 hivi wakati ligi inaanza si tulikuwa 0 kwa 0 now ni 35 kwa 33

Alafu mnasema eti simba wanajifariji,kwann tusijifariji wakati nyinyi mliokuwa nyuma yetu mnajifariji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…