Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Uvumbuzi siku hizi duniani umekwisha ? Au watu wenye akili nyingi wamepungua ?
Ile dunia wakati huo wanasayansi mbalimbali wakipigana vikumbo na mchaka mchaka wa kushindana kubuni formula, vitu na mambo mbalimbali ya kisayansi sasa kimya.
Ukisoma historia mchaka mchaka duniani enzi hizo wakina Isaac Newton, Albert Einstein, Nikola, Thomas Edison, Marie curie na wengine wengi
Dunia ilikuwa imejaa battle za wanasayansi wakipambana ile mbaya kugombea Nobel full fujo wengine mpaka fitina walikuwa wanafanyiana.
Dunia ya sasa hizo battle hazipo kimya, ni kwamba sisi sasa hatuna akili nyingi kama hao watu wa nyuma ?
Ile dunia wakati huo wanasayansi mbalimbali wakipigana vikumbo na mchaka mchaka wa kushindana kubuni formula, vitu na mambo mbalimbali ya kisayansi sasa kimya.
Ukisoma historia mchaka mchaka duniani enzi hizo wakina Isaac Newton, Albert Einstein, Nikola, Thomas Edison, Marie curie na wengine wengi
Dunia ilikuwa imejaa battle za wanasayansi wakipambana ile mbaya kugombea Nobel full fujo wengine mpaka fitina walikuwa wanafanyiana.
Dunia ya sasa hizo battle hazipo kimya, ni kwamba sisi sasa hatuna akili nyingi kama hao watu wa nyuma ?