duu umeongea ukweli mbaka basi jamaa kateteleka kishenzi wakati wataalam tulihisi mda mrefu hii ni kiki na ni wimbo coz wasanii watupu paleNdiku imemchoma mpaka nae akapost,kwa hakika hapa utamjua mwanaume mkurupukaji na ni dhahiri kua Ndiku bado anampenda uwoya ila ndio vile tena ma Dada wa kibongo ni kama ungo na kibeku
Ubuyu mzuri ukiongeza chumvi na maji [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hahahaha raha ya ubuyu kuwe na kauongo kidogo
mmmmh
Alie andika hii post ni ME au KE?
Safi za kwakoMambo vipi KUNDUva!
Kutokuwa na ya ukweli haifanyi wewe kuleta fake mkuuWeka ya ukweli
ooh!! IMYAiseeee
Yesooh!! IMY
[emoji23] [emoji23]Hii hata waziri mkuu wa insta mange kimambi naona ameingizwa mkenge...