Ile kandarasi ya mfumo wa TEHAMA ya Wahindi Tanesco uende kukoma

Ile kandarasi ya mfumo wa TEHAMA ya Wahindi Tanesco uende kukoma

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Kuna ile kandarasi ya mfumo wa usimamizi wa uongozi ya wahindi tanesco ingefaa sasa isimamishwe.

Januari makamba alipopewa uwaziri moja ya mambo ya ubadhirifu wa fedha za umma ni kuipa kampuni ya kihindi kuweka mfumo wa tehama kusimamia uongozi Tanesco.

Kwanza kuna hisia utaratibu haukufuatwa lakini kubwa hapakua na ulazima kuwapa wahindi hiyo kandarasi kwa sababu kuna uwezo Tanzania.

Ukweli kampuni zenze uwezo za wanataaluma wazalendo wazuri kwenye tehama wapo nchini. Hata mheshimiwa mama rais samia analitambua hilo. Leo akifungua chama cha mawakili wa serikali kasifia uwezo wa wanatehema wa tanzania baada ya kuambiwa mfumo wa usajili wa wanachama wa chama anachokizundua umetengenezwa na Watanzania.

Hakuna ubishi kwa hili wanatehema wazalendo wameweza kutengeneza mifumo ya hali ya juu mingi nchini.
Ninachosema hapa vigogo wenye kurukia wageni mara nyingi wana nia mbaya tu kwa taifa. Kwa hivyo inafaa kandarasi ya wahindi tanesco kuchunguzwa gharama yake na kama kuna lazima kuendelea nayo.
 
Kuna ile kandarasi ya mfumo wa usimamizi wa uongozi ya wahindi tanesco ingefaa sasa isimamishwe.

Januari makamba alipopewa uwaziri moja ya mambo ya ubadhirifu wa fedha za umma ni kuipa kampuni ya kihindi kuweka mfumo wa tehama kusimamia uongozi Tanesco.

Kwanza kuna hisia utaratibu haukufuatwa lakini kubwa hapakua na ulazima kuwapa wahindi hiyo kandarasi kwa sababu kuna uwezo Tanzania.

Ukweli kampuni zenze uwezo za wanataaluma wazalendo wazuri kwenye tehama wapo nchini. Hata mheshimiwa mama rais samia analitambua hilo. Leo akifungua chama cha mawakili wa serikali kasifia uwezo wa wanatehema wa tanzania baada ya kuambiwa mfumo wa usajili wa wanachama wa chama anachokizundua umetengenezwa na Watanzania.

Hakuna ubishi kwa hili wanatehema wazalendo wameweza kutengeneza mifumo ya hali ya juu mingi nchini.
Ninachosema hapa vigogo wenye kurukia wageni mara nyingi wana nia mbaya tu kwa taifa. Kwa hivyo inafaa kandarasi ya wahindi tanesco kuchunguzwa gharama yake na kama kuna lazima kuendelea nayo.
Ndugu Mteja

Maandalizi ya kuanza kutengeneza mfumo huu yalianza zaidi ya miaka 10 iliyopita na taratibu zote zilizingatiwa na kufatwa hivyo ondoa shaka kuwa kuna changamoto popote.

TANESCO.
 
Ndugu Mteja

Maandalizi ya kuanza kutengeneza mfumo huu yalianza zaidi ya miaka 10 iliyopita na taratibu zote zilizingatiwa na kufatwa hivyo ondoa shaka kuwa kuna changamoto popote.

TANESCO.
Majibu mazuri.
Ila hoja yake nyingine ni kwamba hakuna Watz/wazawa wenye uwezo wa kufanya hiyo kandarasi???!!!?.
 
Majibu mazuri.
Ila hoja yake nyingine ni kwamba hakuna Watz/wazawa wenye uwezo wa kufanya hiyo kandarasi???!!!?.
watanzania wanachoweza ni kuiba tuu... wacha watu weupe wafanye kazi
 
Ndugu Mteja

Maandalizi ya kuanza kutengeneza mfumo huu yalianza zaidi ya miaka 10 iliyopita na taratibu zote zilizingatiwa na kufatwa hivyo ondoa shaka kuwa kuna changamoto popote.

TANESCO.
Kitu kidogo kama hicho mnachukua miaka 10? ndio maana shirika limefeli kila kipimo cha huduma bora na za uhakika, bora mjifie tuu wengine waje
 
Back
Top Bottom