dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Sijui Hayati Magufuli niseme ni nabii au aliona mbali hadi kutamka kauli ile, maanake mm binafsi nimekuja sasa kujua kuwa hawa jamaa ni watu wa ajabu sana kila kitu wanapinga na hata wamefika mbali kuzusha uongo ili mradi tu wazusshe taharuki katika jamii
Embu fikiria jana train yetu pendwa ya kisasa ya mwendokasi imekwama kutokana hitilafu ya grid ya taifa lkn wao wamekuja kwenye page zao na kuanza kuponda na kuzodoa ufanisi wa train hiyo na kudharau juhudi za mkurugenzi mkuu wa TRC bwana Kadogosa kwa kusema kuwa huyu ni mfungwa mtarajiwa, haya maneno ameyasema ex Mayor wa Ubungo Boniface Jacob
Mm binafsi Dr Namugari ni mdau mkubwa sana na ni mteja wa SGR kwa sasa hakika nimeona utofauti kati ya bus na train za mwendokasi, safari ya saa tano sasa ni saa mbili tu tena kwa bei nafuu zaidi, train iko kisasa sana haichoshi wala kuumiza mgogo na miguu na hakuna hatari yoyote ya kupata ajali wakati wote wa safari, hivi mnataka nini watanzania wenzangu?
Nashukuru sana Magufuli kwa kutuletea huduma muhimu hii ya kisasa kuwai kupatikana hapa nchini
CHADEMA wako tayari kuona train hii haifanyi kazi kuona bwawa la Nyerere linapasuka na kuleta madhara mkubwa wako radhi kuona hujuma ifanyike ili hizi miradi ya kimkatati ifeli na kufa tupate hasara
Jana nimewadharu sana Watu wa CHADEMA, mtu kama Hilda Newton, Boni yai wanakashifu mradi huu na kubeza juhudi za mwenda zake na Rais Samia Suluhu ktk kutekeleza miradi hii muhimu kwa uchumi wetu
Kama kweli CHADEMA ndio mko na siasa za namna hii hamtakaa kuungwa mkono na watanzania walio wengi kama ninyi ni kila kitu mnapinga na kubeza
Ni kweli mnaonewa na CCM kupitia Polisi ccm na pia mnanyanyaswa sana ila hili lisiende moja moja kuleta chuki kwa miradi yetu muhimu
Embu fikiria jana train yetu pendwa ya kisasa ya mwendokasi imekwama kutokana hitilafu ya grid ya taifa lkn wao wamekuja kwenye page zao na kuanza kuponda na kuzodoa ufanisi wa train hiyo na kudharau juhudi za mkurugenzi mkuu wa TRC bwana Kadogosa kwa kusema kuwa huyu ni mfungwa mtarajiwa, haya maneno ameyasema ex Mayor wa Ubungo Boniface Jacob
Mm binafsi Dr Namugari ni mdau mkubwa sana na ni mteja wa SGR kwa sasa hakika nimeona utofauti kati ya bus na train za mwendokasi, safari ya saa tano sasa ni saa mbili tu tena kwa bei nafuu zaidi, train iko kisasa sana haichoshi wala kuumiza mgogo na miguu na hakuna hatari yoyote ya kupata ajali wakati wote wa safari, hivi mnataka nini watanzania wenzangu?
Nashukuru sana Magufuli kwa kutuletea huduma muhimu hii ya kisasa kuwai kupatikana hapa nchini
CHADEMA wako tayari kuona train hii haifanyi kazi kuona bwawa la Nyerere linapasuka na kuleta madhara mkubwa wako radhi kuona hujuma ifanyike ili hizi miradi ya kimkatati ifeli na kufa tupate hasara
Jana nimewadharu sana Watu wa CHADEMA, mtu kama Hilda Newton, Boni yai wanakashifu mradi huu na kubeza juhudi za mwenda zake na Rais Samia Suluhu ktk kutekeleza miradi hii muhimu kwa uchumi wetu
Kama kweli CHADEMA ndio mko na siasa za namna hii hamtakaa kuungwa mkono na watanzania walio wengi kama ninyi ni kila kitu mnapinga na kubeza
Ni kweli mnaonewa na CCM kupitia Polisi ccm na pia mnanyanyaswa sana ila hili lisiende moja moja kuleta chuki kwa miradi yetu muhimu