NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Habari wadau!
Moja kwa moja kwenye mada.
Ile mikokoneni imeishia wapi?
Tuliambiwa kuwa kuna jitihada zinafanywa na serikali za kuzuia ajali zinatokana na bodaboda kwa kuwatengenezea mikokoteni.
Hivi karibuni tumesikia takwimu za vifo vilivyosababishwa na bodaboda zilizotolewa Bungeni, hii imenisitua sana.
Tuliambiwa itakuwa lazima kila bodaboda kuwa nayo ili kudhibiti ajali.
Hiyo mikokoteni iko wapi tena?
Moja kwa moja kwenye mada.
Ile mikokoneni imeishia wapi?
Tuliambiwa kuwa kuna jitihada zinafanywa na serikali za kuzuia ajali zinatokana na bodaboda kwa kuwatengenezea mikokoteni.
Hivi karibuni tumesikia takwimu za vifo vilivyosababishwa na bodaboda zilizotolewa Bungeni, hii imenisitua sana.
Tuliambiwa itakuwa lazima kila bodaboda kuwa nayo ili kudhibiti ajali.
Hiyo mikokoteni iko wapi tena?