Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Yaani hili ndio jibu sahihi. Hivi wakati ule viwanda vya samaki vinasafirisha minofu na mandege yale ya Urusi serikali ilihusika na mikataba ya ndege zile? Waweke wazi sababu ya kusitishwa kwa safari zile!Serikali haina shamba la maua Wala kiwanda Cha kusindika minofu. Waliokodi hizo ndege ni wawekezaji wenyewe.
Ni vigumu kufanya kazi na ATCL maana ghafla unaweza kukuta wameitelekeza bidhaa yako Kisha ndege imeenda Dodoma kubeba makada wa CCM
Serikali hii inapenda sana kusema uongo bila aibu. Ndege hizo zinafanya kazi na viwanda sio serikali Ila wanatafuta tuu sifa mambo yakiharibika wanakimbia.
Awali ndege za Urusi zilizuiwa baada ya kujulikana kuwa zilikuwa zinapeleka silaha huko Congo na Angola kwa waasi na wakati wa kurudi zinapitia samaki. Kashfa hiyo iliharibu biashara hiyo. Sasa Covid19 imeyafanya mashirika hayo AirRwanda na Ethiopia kuona wanaweza kufanya biashara hiyo na kufanya makubaliano na viwanda. Lakini ATCL hawatakiwi maana sio reliable kibiashara.