Ile ndege ya ATCL iliyopeleka nyama ya mbuzi Oman haiwezi kupeleka minofu ya Sangara Ulaya?

Serikali haina shamba la maua Wala kiwanda Cha kusindika minofu. Waliokodi hizo ndege ni wawekezaji wenyewe.
Ni vigumu kufanya kazi na ATCL maana ghafla unaweza kukuta wameitelekeza bidhaa yako Kisha ndege imeenda Dodoma kubeba makada wa CCM
Yaani hili ndio jibu sahihi. Hivi wakati ule viwanda vya samaki vinasafirisha minofu na mandege yale ya Urusi serikali ilihusika na mikataba ya ndege zile? Waweke wazi sababu ya kusitishwa kwa safari zile!

Serikali hii inapenda sana kusema uongo bila aibu. Ndege hizo zinafanya kazi na viwanda sio serikali Ila wanatafuta tuu sifa mambo yakiharibika wanakimbia.

Awali ndege za Urusi zilizuiwa baada ya kujulikana kuwa zilikuwa zinapeleka silaha huko Congo na Angola kwa waasi na wakati wa kurudi zinapitia samaki. Kashfa hiyo iliharibu biashara hiyo. Sasa Covid19 imeyafanya mashirika hayo AirRwanda na Ethiopia kuona wanaweza kufanya biashara hiyo na kufanya makubaliano na viwanda. Lakini ATCL hawatakiwi maana sio reliable kibiashara.
 
Pia ndege za ATCL hazina uhakika wa kurudi nchini zikienda ughaibuni.
Tuna watu wengi huko nje wanatudai, ndege ikienda tu huko inadakwa
Duh, ndege inatuwa Athens kuongeza mafuta kisha inakamatwa ikiwa na mzigo wako wa samaki tani 40 za kwenda Copenhagen unafanyaje? yaani deni lisilokuhusu linakuharibia biashara? Nani anataka hayo?
 
Kule tulikopeleka nyama ya mbuzi tuna kibali na tumepewa ile njia!

Nimekuelewa.
 
Nadhani vibali vya kuruka ATCL kwenda huko Ulaya ndio itakuwa shida kubwa………...Haiingii akilini waiache ATCL waingie huko Rwandair na Ethiopian Airline.
 
Umeelewa uzi lakini? Huko nyama ya mbuzi ilikuwa ikipelekwa sio anga za watu? Au kwenda huku haihitajiki kibali??
Europe na uarabuni au asia ni tofauti. Usa na europe wapo strict sana
 
Acha kudanganya watu , Ethiopian airlines wana ndege za mizigo hawafanyi biashara za kufungua Viti Kama Atcl.Pia shirika kubwa la ndege Kama Ethiopian airlines wana cargo division Kama una mzigo unawaona mwenyewe
 
Serikali haina shamba la maua Wala kiwanda Cha kusindika minofu. Waliokodi hizo ndege ni wawekezaji wenyewe.

Ni vigumu kufanya kazi na ATCL maana ghafla unaweza kukuta wameitelekeza bidhaa yako Kisha ndege imeenda Dodoma kubeba makada wa CCM
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…