Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Wala sio pengo, kama yeye ndiye alifanya wasanii wawe tegemezi kwa clouds kwa kuwa na hofu ya kupotezwa wasipotoa ushirikiano basi hajaacha pengo bali ndio kafungua fursa...Ruge kaondoka na pengo kubwa.
Huna ulijuwalo, Joseph Kusaga ni mmiliki wa WasafiKuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia cloudsmedia lakini leo unaona Hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo yanabadilika. Ile ngome imara ya clouds media kwisha habari yake.
Ndio hivyo, Mali ya urithi!Kuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia cloudsmedia lakini leo unaona Hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo yanabadilika. Ile ngome imara ya clouds media kwisha habari yake.
Hiyo ngonjera bado tu hajaishaHuna ulijuwalo, Joseph Kusaga ni mmiliki wa Wasafi
Pole.
Ngumu kuisha kwakuwa mke wa joh ndio anaongoza kumiliki hisa nyingi wasafiHiyo ngonjera bado tu ijaisha
MUNGU Fundi bhana. π π π π πNgoma ikivuma sana hupasuka. Wapi EFRAIM KIBONDE jamaa alikuwa anatukana hadi waliopo upinzani yaaaaaan
Kwani wamiliki ni tofauti bwashee?!Kuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia cloudsmedia lakini leo unaona Hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo yanabadilika. Ile ngome imara ya clouds media kwisha habari yake.
Wasanii walikuwa wanapangiwa dau maana hamna organizers wengine mbali na cloudsHivi ndivyo inavyotakiwa kuwa,matamasha yanapokuwa mengi ,inawasaidia wasanii kutengeneza hela nyingi.