Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia Clouds Media lakini leo unaona hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo yanabadilika. Ile ngome imara ya Clouds media kwisha habari yake.