Ile Ripoti nyingine... ya 2006

Ile Ripoti nyingine... ya 2006

Unajua tatizo ni kuwa hizi milioni 133 zilizoibwa hazikugunduliwa na uchunguzi wa Ernst & Young zilikuwa zinajulikana na kina Mzindakaya even before E&Y report... na kwa hakika zilikuwa zinajulikana na Mkaguzi Mkuu wa serikali.. why not take action?

..why take action when you can be comfortable taking "action"?

..just saying!
 
Kwa hali ilivyo mbaya kiasi hiki na wizi na hujuma hizi, ningetegemea Viongozi wa Upinzani na Taasisi za Good Governance waitishe kikao cha dharura na Wafadhili wote, anzia IMF, WB, EU, ADB, na wengine wote na kuwataka wasitishe misaada yote kwa Tanzania mpaka majibu na uwajibikaji utokee kwanza tujue ni kwa nini Serikali yetu imeendelea kuihujumu nchi yetu kwa kukalia kimya Uzembe na ukosefu wa Nidhamu ya kiutendaji BOT.

This is serious, I will contact Financial Times and Wall Street Journal and ask them to start an investigative report about Central Bank of Tanzania being a pot of Money Laundering, through corruption and economical sabotage!

Any government official of Tanzania who was in service between 1990-2008 at BOT, Ministry of Finance, State House, Planning and AG chamber must be investigated and if possible, we should get assistance from SFO, FINCEN and FBI!

..you are dreaming,right?

..nani mwenye uwezo wa kuwaita hao atawaita?
 
Unajua tatizo ni kuwa hizi milioni 133 zilizoibwa hazikugunduliwa na uchunguzi wa Ernst & Young zilikuwa zinajulikana na kina Mzindakaya even before E&Y report... na kwa hakika zilikuwa zinajulikana na Mkaguzi Mkuu wa serikali.. why not take action?

Lakini MKuu hii ripoti imetolewa tarehe 26 Machi 2008, baada ya mambo yote kuwekwa hadharani. Huyu Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa mahesabu ya Serikali ameingiza kipengere hiki baada ya kushtuliwa na hizo ripoti za ukaguzi maalumu, yeye alisha prove failure huko nyuma (otherwise tupate ripoti yake ya mahesabu yaliyoishia 30 June 2006 siyo hii ya mahesabu yaliyoishia 30 June 2007.
 
Nimeikuta hii kwa Michuzi kuhusu utetezi wa Ballali, ukiisoma sasa inachekesha maana jamaa alikuwa anakataa mambo ambayo anajua amefanya.
Mtanzania,

Umenikumbusha mbali kweli. Hahaha kipindi hiki nakumbuka nilijing'ata kidole kwa kufikiria huyu jamaa kama yuko serious. Nikaongea na wadau kadhaa wakasema "Mwache tu, muda utajiri atajua mwenyewe kuwa hatujalala".

Ngoja nipitie kidogo tu...

gavana wa benki kuu mh. daudi balali amemaliza mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde na kwa haraka haraka nawapa pinti kadhaa za yaliyojiri.
Nahisi nilikuwepo!

1. Kuhusu tuhuma dhidi yake katika mtandao kasema ni za uwongo mtupu na hazina ukweli wowote na unatokana na watu ambao wanagombana ama wanagombania kitu, na kwamba mwandishi wake ni 'selfish' na ana 'malice' pia. na pia kasema kama kuna waliozoea kukopa na kutorudisha huko zamani sasa inabidi wafanye financial adjustment na akikopa na kushindwa kulipa benki inambana na akija kwa gavana hatopata msaada kwani ndo hali halisi. na kwamba hawezi kuongelea zaidi kwani jambo lenyewe ninafanyiwa uchunguzi na serikali.
I see, hii ilisemwa naye. I kept silent either.

2. amesema hawezi kujiuzulu ili kupisha uchunguzi unaoendelea kwani haiwezekani mtu akaachia ngazi kwa tuhuma na uzushi ambazo sio tu hazina uhakika bali zinachunguzwa ili ukweli ujulikane.
Lakini baadae alijiuzulu tena kwa maandishi... Ndivyo walivyo! Kila kitu online ni uzushi tu. Hawataamini, si ajabu. Watakuwa wanatoa majibu ya hivi hivi...

3. Kuhusu gharama za ujenzi wa twin tawa kasema amesema hizi tuhuma na kelele zipo wazi kwenye ripoti ya matumizi na ziko wazi kwa kila mtu kusoma. amesema pia hazikuanza leo bali toka 1984 jengo la zamani lilipomalizika ambapo gavana wa wakati huo hayati nyirabu alipigiwa kelele kuwa kavuta, hivyo ujenzi ukasismama. gavana rutihinda naye alijaribu lakini kelele kama hizo, amesema, zikafanya ujenzi usimame tena, pia, aliongeza, gavana rashid alipokuja naye alijaribu kupanua ujenzi wa benki kuu, lakini ujenzi ukasimama kwa tuhuma za aina hiyo hiyo. anasema alipokuja yeye mwaka 2000 amefufua mradi huo baada ya uchunguzi kufanywa na kukutwa tuhuma za uwongo baada ya upelelezi kuhitimisha kazi yao.
Ofcourse ufisadi hapo BoT ulianza siku nyingi tu. Na hata hii ya enzi za Balali ni cha mtoto, japo ndiyo tunayoishikia bango kwani wahusika wengi tunao karibu.

4. amesisitiza haya sio mambo mapya na yamekuwa katika benki kuu kwa miaka takriba 20 sasa. na amesema kama kuna mtu ambaye ana ushahidi wa kwamba kuna mtu ni mhalifu aletwe na ushahidi ili achukuliwe hatua na kwamba hawezi kufanyia kazi tuhuma na uzushi. alisema kwamba yuko komfotebo sana tu, hali yake nzuri na anaendelea na kazi kama kawaida, baada ya kuulizwa anajisikiaje-sikiaje kisaikolojia kufuatia hizo tuhuma kwamba yeye na washikaji kibao wamevuta.
Hahahaha, I see... No comment!

5. pia amesema huyo mtu ambaye kasambaza waraka kwenye mtandao hamjui ila alimtaja kuwa si mzalendo, ana chuki binafsi na mbinafsi.
Tena mzandiki. Lakini ukweli unabakia pale pale kuwa kila penye ukweli uwongo hujitenga. Maneno kama haya kutoka kwa baadhi ya viongozi yamekuwa kama kawaida na hasa pale ulaji wao unaponuswanuswa. Utaitwa majina kedekede... Mzandiki, mnafiki mkubwa, mkosa uzalendo, mwenye chuki na maendeleo yao n.k. Mungu pekee ndiye mjua ukweli.

6. gavava bilali pia alizungumzia hali ya uchumi ni nzuri na kwamba hali ya inflesheni hadi jaanuary 1995 imedondoka hadi asilimia 9.1 na ilipanda hadi asilimia 6.1 hadi April 2007 na kufikia 5,0 mwezi mei mwaka huu.
I see... That's great, and we can see some changes tangu kelele hizi (za chura) zianze.

7. pia amesema akiba ya taifa ya fedha ya kigeni imepanda toka dola 270 milioni mwisho mwa 1995 hadi kufikia dola 2,260 milioni ambayo inatosha kukava kwa angalau miezi 5
No comment!
 
ndio hivyo, kuna haja ya kuitisha uchaguzi mwingine soon na wananchi tuvote wisely! Nimechoka mwenzenu, tumenyonywa kiasi cha kutosha kuwanufaisha mafisadi. Afadhali hata mkoloni alinyonya lakini kuna huduma kama elimu zilikuwa na ubora, kikulacho ki knguoni mwako wahenga walisema.
huwezi kushinda uchaguzi kwa kuwaambia wananchi eti pesa zimeibiwa bank na kwenye mashirika ya umma.watoto wanapowatumia pesa wazazi wao vijijini kwa ajili ya matumizi basi kwao maisha wa watoto wao chini ya utawala wa ccm ni mzuri.labda tutafute sababu nyingine
 
huwezi kushinda uchaguzi kwa kuwaambia wananchi eti pesa zimeibiwa bank na kwenye mashirika ya umma.watoto wanapowatumia pesa wazazi wao vijijini kwa ajili ya matumizi basi kwao maisha wa watoto wao chini ya utawala wa ccm ni mzuri.labda tutafute sababu nyingine



Invinsible

Hii ripoti bado kabisa, hii ni sehemu ndogo tu ya ufisadi hapo BOT.

Hebu tutafutie vibao vifuatavyo tumalize kazi

1. Internal report ya BOT kuhusu madeni ya EPA ya mwaka mmoja kabla ya huu mwaka unaohusika kwenye hii ripoti. Mkapa anahusika moja kwa moja

2. Memo ya ndani kuhusu kukuzwa kwa gharama za yale majengo pacha, ripoti inayozungumzia hatua ambayo mchakato wa ujenzi ulipofikia na mapungufu yaliyopo.

3. Taarifa ya BOT kuhusu Meremeta na Tangold, itafute taarifa ya mkaguzi wa awali wa mahesabu ya BOT ambaye aliondolewa kwa shinikizo

4. Memo ya Balalli kuhusu Deep Green Finance limited.

Hapo ndipo yalipo maufisadi makali zaidi na humo ndipo tutaipata the axis of corruption.

Hii hapa ni sehemu ndogo sana, ilitolewa kuwazamisha wachache kufunika vigogo wenyewe

Asha
 
Invinsible

Hii ripoti bado kabisa, hii ni sehemu ndogo tu ya ufisadi hapo BOT.

Hebu tutafutie vibao vifuatavyo tumalize kazi

1. Internal report ya BOT kuhusu madeni ya EPA ya mwaka mmoja kabla ya huu mwaka unaohusika kwenye hii ripoti. Mkapa anahusika moja kwa moja

2. Memo ya ndani kuhusu kukuzwa kwa gharama za yale majengo pacha, ripoti inayozungumzia hatua ambayo mchakato wa ujenzi ulipofikia na mapungufu yaliyopo.

3. Taarifa ya BOT kuhusu Meremeta na Tangold, itafute taarifa ya mkaguzi wa awali wa mahesabu ya BOT ambaye aliondolewa kwa shinikizo

4. Memo ya Balalli kuhusu Deep Green Finance limited.

Hapo ndipo yalipo maufisadi makali zaidi na humo ndipo tutaipata the axis of corruption.

Hii hapa ni sehemu ndogo sana, ilitolewa kuwazamisha wachache kufunika vigogo wenyewe

Asha
Kifupi niseme... Be right back. Una hakika hivi vikija mtalonga?
 
Tangu lini FISADI akajikamata mwenyewe? Kwa maoni yangu, JK kashindwa nchi kabisa. Yeye alifikiri kazi ya urais ni kuhudhuria mikutano, makongamano na kusafirisafiri kwenye Jet yake. Maisha ya Mtanzania wa kawaida yanazidi kuwa magumu, hakuna responsibility serikalini. Wanajifanya kuitisha mkutano wa Nec (SISIEMU) kujadili KILIMO ni utumbo mtupu. Tupeni majibu ya Uchunguzi wa EPA pamoja na Kamati ya Mh. Pinda kujua ni nini kinaendelea. Hii tabia ya kulindana hataweza kuisha hadi JK pamoja na SISIEMU yake watakapong'olewa.
Ndulu hana jipya hapo BOT maana yeye alikuwa msaidizi wa Balali, na ninaamin i katika masuala mazito especially pesa za wananchi kuzitolea maamuzi naye alikuwemo. So wasitudanganye hapa, it's the same #&%t.
 
Back
Top Bottom