Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
wote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakimbilia wapi andika vizuri...wote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.
Kaague tena umekosea kuangaliawote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.
Kashika nafasi ya watuAnaongoza kwa point 6
Bado hujanisoma tumimi ni mwana Arsenal.
mkuu kwa jinsi aulivyoandika misijakusoma ndugu yangu!
Bado hujanisoma tu
ninekusoma.Bado hujanisoma tu
Leo mpo etihadTafuta hela nyama wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu hapo hawajawahi kushinda tena[emoji848]wote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.