Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Unakimbilia wapi andika vizuri...wote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.
Kaague tena umekosea kuangaliawote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.
Kashika nafasi ya watuAnaongoza kwa point 6
Bado hujanisoma tumimi ni mwana Arsenal.
mkuu kwa jinsi aulivyoandika misijakusoma ndugu yangu!
Bado hujanisoma tu
ninekusoma.Bado hujanisoma tu
Leo mpo etihadTafuta hela nyama wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu hapo hawajawahi kushinda tena[emoji848]wote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.