Ile sehemu wanayouza mikate Iringa imewezaje kupata umaarufu mkubwa tangu zamani kwa wanaosafiri safari ndefu hasa wenye magari binafsi

Ile sehemu wanayouza mikate Iringa imewezaje kupata umaarufu mkubwa tangu zamani kwa wanaosafiri safari ndefu hasa wenye magari binafsi

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Ni sehemu flani ipo Iringa umbali mfupi kabla ya njia ya barabara ile inayopanda kwenda mjini,

wenye magari binafsi hasa waliotokea Dar, Moro, Dodoma wakifika hio sehem husimama kwenda kununua mikate.

Hata kuna kipindi mwaka huu nilipita hapo walihamia kwa mbele kidogo, moja wetu hakutaka kuendelea safari hadi aupate huo mkate, ilibidi tuulizie sana hadi tufike walipohamia.
 
Ni sehemu flani ipo Iringa umbali mfupi kabla ya njia ya barabara ile inayopanda kwenda mjini,

wenye magari binafsi hasa waliotokea Dar, Moro, Dodoma wakifika hio sehem husimama kwenda kununua mikate.

Hata kuna kipindi mwaka huu nilipita hapo walihamia kwa mbele kidogo, moja wetu hakutaka kuendelea safari hadi aupate huo mkate, ilibidi tuulizie sana hadi tufike walipohamia.
Mkuu inaonekana utakuwa umesimuliwa kuhusu iyo mikate.
 
Mkuu inaonekana utakuwa umesimuliwa kuhusu iyo mikate.
sema mwenyewe huwa sio mwenyeji hapo, zamani alikuwa karibu na opposite ya kiwanda cha maji ya mkwawa, kwa sasa kaenda mbele kidogo, ni assas ?
 
Back
Top Bottom