LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,642
Kama yuko rafu tusiseme? Huyu ni kioo cha urembo sasa kama karudi hovyo hovyo tumsifie? Hivi umemuona miss Kenya alivyotua au unaongea tu ...Wanao Mponda ni wadada wenzake na wengine mama zake kabisa... Siku wanawake wakipendana itakua ndo mwisho wa dunia.