Ile sketi Aliyoshuka nayo miss Tanzania Kutoka marekani kiboko.

Mbona katoka poa sana tu....Wanawake wa siku hizi bana yaan mlitaka avae chupi ndo mseme kapendeza?
 
Mmh diana karud kama alikurupushwa ataachwa na ndege. Nywele vukuvulu,kiatu mmh,nguo jaman kwel kaonyesha umuhimu wa wamachinga maana si kwa sagula sagula zile.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah
 
Sasa jamani mlivyokuwa mnakomenti Tanzania mbona mlikuwa mnamfagilia sana au kwavile kashindwa uyu bindi tumsamehe bule maana ata zawadi zake zaumisi Tz alilalamika ndio akapewa yawezekana alipewa nauli tu
Ule ulikua ni "uzalendo kwanza" lakini vidonge vyake lazima tumpe
 
Hahahahaaaaaaaaa uwiiiiii umenikumbusha mbali Mkuu Mr laedj
 
Diana si alisharudi, karudi tena mara ya pili, Diana huyu ni mchawi nini!
 
Sijui sana mambo ya urembo kama kuna vigezo vingine basi wanajua wadada hususan ni wadada wa mjini...Ila kwangu muonekano na mvuto ndio vina matter ili nijue huyu ni miss izo sifa nyigine ni za ndan sana..Ombi langu wanao chagua hawa mamiss waangalie kwanza uzuri wa nje hivyo vigezo vingine iwe nyongeza au watafute wakufunzi kwa ajili ya hivyo vigezo vingine la sivyo tutaendelea kusindikiza wenzetu wa mataifa mengine.. Mimi kwa upande wangu kama mwanaume huyo ni miss sawa ila sio wa kushindana ni wakawaida tu ila sio m baya ila kama anazo sifa nyingine pongezi kwake na anaonyesha ni wife material kwa muonekano
 
Wanao Mponda ni wadada wenzake na wengine mama zake kabisa... Siku wanawake wakipendana itakua ndo mwisho wa dunia.

...mnh umesema kweli

..huko kuvaa rough,sijui wigi limefanya nini,kunakuwa 'noticed' na wanawake tu?,yaani mie nashangaa kweli tunavyojiaibisha.....

..wekeni picha na MAWIGI yenu,I ADARE YOU!......

...kama hatujaona vituko humu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…