Ile sketi Aliyoshuka nayo miss Tanzania Kutoka marekani kiboko.

Ile sketi Aliyoshuka nayo miss Tanzania Kutoka marekani kiboko.

Hii sketi amepewa na Donald Trump. Sema Miss wenyewe mbayaaaaaa
 
Sijui sana mambo ya urembo kama kuna vigezo vingine basi wanajua wadada hususan ni wadada wa mjini...Ila kwangu muonekano na mvuto ndio vina matter ili nijue huyu ni miss izo sifa nyigine ni za ndan sana..Ombi langu wanao chagua hawa mamiss waangalie kwanza uzuri wa nje hivyo vigezo vingine iwe nyongeza au watafute wakufunzi kwa ajili ya hivyo vigezo vingine la sivyo tutaendelea kusindikiza wenzetu wa mataifa mengine.. Mimi kwa upande wangu kama mwanaume huyo ni miss sawa ila sio wa kushindana ni wakawaida tu ila sio m baya ila kama anazo sifa nyingine pongezi kwake na anaonyesha ni wife material kwa muonekano
Wife materiaaaaaaaaaaallll[emoji3] [emoji3]
Kwamba amekaa kimama mama, sio?

( Guys have mercy on her pleeeaaase, she's only 18yrs old)

Daaa!! Ila kweli wawe wanazingatia na sura ingawa wanatanguliza knowledge ndio kipaumbele( knowledge inafundishika bhaaana, so uzuri kwanza)

Ukisoma qualification za kuwa miss world wanakwambia majudge wanaangalia appearance kwanza na pose zako then maswali wanayouliza ni kigezo cha ziada tu kutest akili ya huyo mgombea. Sasa Tanzania tupo kinyume unafikiri tutamatch na miss world kweli?!!!
 
Hayo mengine cpo ila kuchanganya lugha imenikera zaid kama unapendelea kiswahili ongea kiswahili kama nae amesahau kiswahili aongee tu kidhungu moja kwa moja

KiswaNglishi ndio usomi Mkuu "ndio mambo ya mtoni Fulani Hivi"
 
Kwani uzuri wa nje ni nini ? Kuna SI Unit ya kupima uzuri ? Unachoona wewe kizuri ndio na mimi pia lazima nione ni kizuri ?
Kila kitu kizuri hujionyesha nje kabla hujagusa ndani kumbuka pia watu wanaangalia shape alafu mambo mengine yanafuata,ukiwa mbaya utafanyiwa make up lakini haupendeza kama yule aliye na mvuto wa asili.jifunze kutambua vitu vizuri basi ndiyo maana malaika walipewa sura nzuri hiyo ni kwasababu wametimia kikamilifu na shetani alipewa sura mbaya inayosadifu uhalisia japo simaanishi dada yetu ni mbaya hapana but kwenye mashindano kama yale huwezi kumuweka ndugu yetu huyu ni lazima tushindwe tu.
 
Kila kitu kizuri hujionyesha nje kabla hujagusa ndani kumbuka pia watu wanaangalia shape alafu mambo mengine yanafuata,ukiwa mbaya utafanyiwa make up lakini haupendeza kama yule aliye na mvuto wa asili.jifunze kutambua vitu vizuri basi ndiyo maana malaika walipewa sura nzuri hiyo ni kwasababu wametimia kikamilifu na shetani alipewa sura mbaya inayosadifu uhalisia japo simaanishi dada yetu ni mbaya hapana but kwenye mashindano kama yale huwezi kumuweka ndugu yetu huyu ni lazima tushindwe tu.
Sura mbaya ya shetani umeionea wapi ?
 
Huo ni msiba na udhaifu mkubwa wanaoufanya watu maarufu zaid wanatuchefua tu kufikia hatua unaona aibu unaesikiliza[emoji35]

Ntenia nimeona aibu kwa kusoma Na kusikia KiswaNglishi mpaka nimekuwa sugu wa aibu.
Hata humu JF wako wengi tu.
 
Kwani alipokuwa anarudi kutoka marekani alikuwa anaenda kwenye onyesho mpaka avae mavazi ya kimiss ? Na kwanza kapokelewa na wazazi wake tu na waandishi wa habari sasa huko kuwaaibisha ni vipi?
 
WaTanzania mkitaka Taji la Miss world lazima kwanza wanaotaka u miss wachukuliwe mwaka kabla ya shindano...
waende course ya kujitambua kuwa miss ni nani na anatakiwa kufanya nini, wajifunze Lugha vizuri... wajifunze ruway, mambo ya catwalk
yani wajifunze yote yanayohusika na U miss...
wajipange hasa... wafundishwe comfidence

then ndio wafanye shindano..
wakishampata mrembo .. nadhani ataenda kuwakilisha vyema kabisa!!?

mamiss universe wengi wao ni models ndio maana huwa wanafikaga mbali.
hii tabia ya kuchukua tu wasichana wasiojua chochote inatucost sana...
wanaenda kutia aibu.!!!!
lazima mamiss wapate training ya kutosha mwaka mzima kabla!!

bora wangemwacha tu LILIAN KAMAZIMA
aendelee tukuwa miss Tanzania
Lilian kamazima namkubali sana, akitabasamu hutamani aache, nisaidie namba yake kama unayo.
 
Ile sketi kiboko, Yani sikuielewa design imejikunja, design imejibinua na sijui alikua hajanyoosha hata Nguo zenyewe, maana mhh ile Ni mpya akachapa na Viatu vya njano sijui bluu kweli tulipeleka kituko huko alikua vichekesho tu.
Acha umbea lete picha.
 
Ile sketi kiboko, Yani sikuielewa design imejikunja, design imejibinua na sijui alikua hajanyoosha hata Nguo zenyewe, maana mhh ile Ni mpya akachapa na Viatu vya njano sijui bluu kweli tulipeleka kituko huko alikua vichekesho tu.
Acha umbea lete picha.
 
Sijui sana mambo ya urembo kama kuna vigezo vingine basi wanajua wadada hususan ni wadada wa mjini...Ila kwangu muonekano na mvuto ndio vina matter ili nijue huyu ni miss izo sifa nyigine ni za ndan sana..Ombi langu wanao chagua hawa mamiss waangalie kwanza uzuri wa nje hivyo vigezo vingine iwe nyongeza au watafute wakufunzi kwa ajili ya hivyo vigezo vingine la sivyo tutaendelea kusindikiza wenzetu wa mataifa mengine.. Mimi kwa upande wangu kama mwanaume huyo ni miss sawa ila sio wa kushindana ni wakawaida tu ila sio m baya ila kama anazo sifa nyingine pongezi kwake na anaonyesha ni wife material kwa muonekano

Wazuri wa sura always kichwani weupe peee! Wajinga balaa
 
Back
Top Bottom