Ile tume ya sayansi na teknolojia ni ya mchongo

Ile tume ya sayansi na teknolojia ni ya mchongo

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
tume ya kifala hiyo kwa TZ izo mambo utakwama labda wewe mwenyewe uwe na mipunga, kama vipi pitia Kenya kidogo wako serious.
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Kwelikweli ipo ipo kama chadema tu

USSR
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Haiwezi kuwa na mfuko wa kufadhili hizo project bila kutengewa bajeti na mamlaka au kufadhiliwa na wahisani.
 
Haiwezi kuwa na mfuko wa kufadhili hizo project bila kutengewa bajeti na mamlaka au kufadhiliwa na wahisani.
Sasa sikazi yao kuandaa strategic planning,sikazi yao kutafuta wahisani ili wawafanikishie,si kazi yao kuhakikisha sekta ya sayansi na teknolojia inakuwa,si kazi yao kuishawishi wizara iwatengee budget inayoeleweka kwa ajili ya taasisi yao na maendeleo,ni udhaifu
 
I had my own project and its a good one, proposal iliwafikia na demonstrations kibao ila kama hawaoni vile, years past one ngo saw something on me nikafanya nao kazi yenye mafanikio sana kulingana na targets tukizoweka nafasi moja ikafungua milango
Mingine now im abt to work with their goverment, na moja kati ya swali nililoulizwa why hii project hujaamua kufanya na nchi yako, i said i didn get that opportunity,.. This is Africa,, kila kitu ni deal ndio maana hatuendelei
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Tanzania una project au mradi au ubunifu wowote halafu unauwasilisha kuomba msaada? Ndugu yangu hili ni kama jambo lisilowezekana. Kuna jamaa yangu alibuni mradi mzuri sana wa kuzalisha bidhaa fulani, akaenda kuomba leseni, wakampiga dana dana kumbe kuna mkubwa mmoja ameshachukuwa ile ''idea'' na kwenda kuifanyia kazi.
 
I had my own project and its a good one, proposal iliwafikia na demonstrations kibao ila kama hawaoni vile, years past one ngo saw something on me nikafanya nao kazi yenye mafanikio sana kulingana na targets tukizoweka nafasi moja ikafungua milango
Mingine now im abt to work with their goverment, na moja kati ya swali nililoulizwa why hii project hujaamua kufanya na nchi yako, i said i didn get that opportunity,.. This is Africa,, kila kitu ni deal ndio maana hatuendelei
Ungewambia nchi fulani wanatoa pesa kwa wakata mauno tu

Ova
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
🤣🤣🤣Mchongo ule,ni tume ya kuandaa research zinazoishia kwenye makabati na kula per diem za kutosha
 
Hio ipo Kwa ajili ya Kuiba ideas, na kufelisha Vijana wenye uwezo binafsi.
Usije peleka proposal yako mahala kama pale utakuja kuiskia hata SA, ndipo utashangaa imefikaje South.

Hizi tume zipo kimipango mkuu nasio kama tunavozijua.
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Kwamba tume wana pesa ambazo ziko loose loose tu. Wewe wapeleka proposal bila kuwapo na call yoyote? Hizo akili za zeze.
 
Back
Top Bottom