Ile tume ya sayansi na teknolojia ni ya mchongo

Ile tume ya sayansi na teknolojia ni ya mchongo

Tanzania una project au mradi au ubunifu wowote halafu unauwasilisha kuomba msaada? Ndugu yangu hili ni kama jambo lisilowezekana. Kuna jamaa yangu alibuni mradi mzuri sana wa kuzalisha bidhaa fulani, akaenda kuomba leseni, wakampiga dana dana kumbe kuna mkubwa mmoja ameshachukuwa ile ''idea'' na kwenda kuifanyia kazi.
Idea nyingi zimeibiwa na kuuzwa nchi zingine.
Wezi sana Hawa
 
Nina jamaa yangu kakulia kenya ila ni mtz by citizenship, alinambia kawapelekea idea wanaishia kumpigisha ruti za njoo leo njoo kesho, bahati nzur akapata connection hapo nairobi watu wakaikubali sahv anantumia tu miamala.
 
Nina jamaa yangu kakulia kenya ila ni mtz by citizenship, alinambia kawapelekea idea wanaishia kumpigisha ruti za njoo leo njoo kesho, bahati nzur akapata connection hapo nairobi watu wakaikubali sahv anantumia tu miamala.
Aise!!!,let me try
 
Hio ipo Kwa ajili ya Kuiba ideas, na kufelisha Vijana wenye uwezo binafsi.
Usije peleka proposal yako mahala kama pale utakuja kuiskia hata SA, ndipo utashangaa imefikaje South.

Hizi tume zipo kimipango mkuu nasio kama tunavozijua.
🙏🙏
 
I had my own project and its a good one, proposal iliwafikia na demonstrations kibao ila kama hawaoni vile, years past one ngo saw something on me nikafanya nao kazi yenye mafanikio sana kulingana na targets tukizoweka nafasi moja ikafungua milango
Mingine now im abt to work with their goverment, na moja kati ya swali nililoulizwa why hii project hujaamua kufanya na nchi yako, i said i didn get that opportunity,.. This is Africa,, kila kitu ni deal ndio maana hatuendelei
Dah!!,ngoja nitafute urai ng'ambo
 
Leo nimesiki mmbuge wawili wakichangia bajet ya waziri mkuu kidgo nilie mama Salma kikwete na mama mmoja jmn Ni majanga tupu nilizima tv nikatazama katuni mbaya Zaid nikatazama katuni zenye rangi za upinde [emoji2380] nilivurugwaa mno

Nitaandika Uzi wabunge wale waondolewe kwa nguvu 2025

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Kuna taarifa umeamua usizijumuishe katika uzi wako labda kwa kutaka kuhalalisha hoja. Tume ya Sayansi haifadhili project ya mtu mmoja. Tafuta timu ya watu wenye profile za kitafiti uwajumuishe, kama proposal inasound, mtapewa fungu la kutosha ambalo hata ukigawanya kwa idadi yenu, ni zaidi ya hiyo 20M
 
Kuna taarifa umeamua usizijumuishe katika uzi wako labda kwa kutaka kuhalalisha hoja. Tume ya Sayansi haifadhili project ya mtu mmoja. Tafuta timu ya watu wenye profile za kitafiti uwajumuishe, kama proposal inasound, mtapewa fungu la kutosha ambalo hata ukigawanya kwa idadi yenu, ni zaidi ya hiyo 20M
Na fahamu zaidi ya unavyodhani nafahamu;ziko project nyingi Za mtu mmoja mmoja wamedhifadhili nanda katika tovuti zao wamezihorozesha tano walizozifadhili na ni Za mtu mmoja mmoja.
 
Back
Top Bottom