TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
tume ya kifala hiyo kwa TZ izo mambo utakwama labda wewe mwenyewe uwe na mipunga, kama vipi pitia Kenya kidogo wako serious.Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Kwelikweli ipo ipo kama chadema tuHivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
😁😁😁sasa CHADEMA imekujaje hapa?Kwelikweli ipo ipo kama chadema tu
USSR
Oh!! Unanifungua aise!!tume ya kifala hiyo kwa TZ izo mambo utakwama labda wewe mwenyewe uwe na mipunga, kama vipi pitia Kenya kidogo wako serious.
Yaani dah!! Qummamayoooooo kabisa,halafu hata kwa vitu vidogovidogo tuyaani costech, ni uharo mtupu
Aise!! Kweli sisi ni kichwa cha mwenda wazimuNchi hela wanapewa bongo movie
Bongo fleva sijui na mambo mengine ya uchawa
Mambo ya sayansi tekelinalokujia
Pambaneni na hali zenu
Ova
Haiwezi kuwa na mfuko wa kufadhili hizo project bila kutengewa bajeti na mamlaka au kufadhiliwa na wahisani.Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Sasa sikazi yao kuandaa strategic planning,sikazi yao kutafuta wahisani ili wawafanikishie,si kazi yao kuhakikisha sekta ya sayansi na teknolojia inakuwa,si kazi yao kuishawishi wizara iwatengee budget inayoeleweka kwa ajili ya taasisi yao na maendeleo,ni udhaifuHaiwezi kuwa na mfuko wa kufadhili hizo project bila kutengewa bajeti na mamlaka au kufadhiliwa na wahisani.
Tanzania una project au mradi au ubunifu wowote halafu unauwasilisha kuomba msaada? Ndugu yangu hili ni kama jambo lisilowezekana. Kuna jamaa yangu alibuni mradi mzuri sana wa kuzalisha bidhaa fulani, akaenda kuomba leseni, wakampiga dana dana kumbe kuna mkubwa mmoja ameshachukuwa ile ''idea'' na kwenda kuifanyia kazi.Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Mzee umecoment kwa gadhabu sanaYaani dah!! Qummamayoooooo kabisa,halafu hata kwa vitu vidogovidogo tu
Ungewambia nchi fulani wanatoa pesa kwa wakata mauno tuI had my own project and its a good one, proposal iliwafikia na demonstrations kibao ila kama hawaoni vile, years past one ngo saw something on me nikafanya nao kazi yenye mafanikio sana kulingana na targets tukizoweka nafasi moja ikafungua milango
Mingine now im abt to work with their goverment, na moja kati ya swali nililoulizwa why hii project hujaamua kufanya na nchi yako, i said i didn get that opportunity,.. This is Africa,, kila kitu ni deal ndio maana hatuendelei
🤣🤣🤣Mchongo ule,ni tume ya kuandaa research zinazoishia kwenye makabati na kula per diem za kutoshaHivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Kwamba tume wana pesa ambazo ziko loose loose tu. Wewe wapeleka proposal bila kuwapo na call yoyote? Hizo akili za zeze.Hivi ile tume ya sayansi na teknolojia ina kazi gani ? Mimi siielewi maana unaweza ukapeleka proporsal ya kuomba kupewa support ya development ya project yako ,wakaipitia wakakwambia ni nzuri ,but we have no money!! Na utakuta project yenyewe hai gahrimu hata 20M kwa ajili ya development kwa ajili ya majaribio,kwani ipo kwa kazi ipi zaidi?, au hili haliwahusu? Ama ni tume ya mchongo?
Sasa chadema kaingiaje hapa mkuu?Kwelikweli ipo ipo kama chadema tu
USSR