Ile tume ya sayansi na teknolojia ni ya mchongo

Idea nyingi zimeibiwa na kuuzwa nchi zingine.
Wezi sana Hawa
 
Nina jamaa yangu kakulia kenya ila ni mtz by citizenship, alinambia kawapelekea idea wanaishia kumpigisha ruti za njoo leo njoo kesho, bahati nzur akapata connection hapo nairobi watu wakaikubali sahv anantumia tu miamala.
 
Nina jamaa yangu kakulia kenya ila ni mtz by citizenship, alinambia kawapelekea idea wanaishia kumpigisha ruti za njoo leo njoo kesho, bahati nzur akapata connection hapo nairobi watu wakaikubali sahv anantumia tu miamala.
Aise!!!,let me try
 
Hio ipo Kwa ajili ya Kuiba ideas, na kufelisha Vijana wenye uwezo binafsi.
Usije peleka proposal yako mahala kama pale utakuja kuiskia hata SA, ndipo utashangaa imefikaje South.

Hizi tume zipo kimipango mkuu nasio kama tunavozijua.
🙏🙏
 
Dah!!,ngoja nitafute urai ng'ambo
 
Leo nimesiki mmbuge wawili wakichangia bajet ya waziri mkuu kidgo nilie mama Salma kikwete na mama mmoja jmn Ni majanga tupu nilizima tv nikatazama katuni mbaya Zaid nikatazama katuni zenye rangi za upinde [emoji2380] nilivurugwaa mno

Nitaandika Uzi wabunge wale waondolewe kwa nguvu 2025

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa umeamua usizijumuishe katika uzi wako labda kwa kutaka kuhalalisha hoja. Tume ya Sayansi haifadhili project ya mtu mmoja. Tafuta timu ya watu wenye profile za kitafiti uwajumuishe, kama proposal inasound, mtapewa fungu la kutosha ambalo hata ukigawanya kwa idadi yenu, ni zaidi ya hiyo 20M
 
Na fahamu zaidi ya unavyodhani nafahamu;ziko project nyingi Za mtu mmoja mmoja wamedhifadhili nanda katika tovuti zao wamezihorozesha tano walizozifadhili na ni Za mtu mmoja mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…