Pre GE2025 Ileje wamchangia Dr Ntimi Mtawa gharama za kuchukua fomu 2025

Pre GE2025 Ileje wamchangia Dr Ntimi Mtawa gharama za kuchukua fomu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,190
Reaction score
3,039
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
 
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Amekutuma
 
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Jambo la faraja Ileje hakuna watu wapumbavu na machawa kama wewe! Mtu kama wewe anafananishwa na mtoto aliyepata malezi ya hovyo kutoka kwa mzazi mmoja malaya, yaani "USOSI"!
 
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Machawa ni shidaaaa sanaa
 
Ileje sijui ccm iliwaroga nenda ngulugulu,chikumbulu,mswima ,kisyesye ,luswiswi na bufula mpaka hawana barabara na gari hazifiki ili kusafiri unalazimika kutembea kwa miguuu km 30 mpaka isoko ndio ulione gari ! Ileje mpaka Kuna vijiji pikipiki hazifiki na Bado wanatuletea story za ccm hapa wapumbavu kweli
 
Back
Top Bottom